Kwa hiyo yy msukuma hakuahidiwa ndo maana ulikataaa je ww umehidiwa nn ccm? Acha kuchafua watu walio na huruma kwa watnzania lowasa ana nia njema kwetu na ndo maana tunamuamini, na je? Angebaki ccm na kuteuliwa kuwa mgombea ungeongea hayo,? Kwa nn usingesema mapema kabla hajahama wtznia tukajua mapema, mmeona upepo mbaya mnachafua kwa nguv, mbona lowasa yy katulia haongei kma mnajiamini ccm kwa nn msipige kampeni kama wenzenu? Vijembe vya nn? na wenye maamuzi ni ss wananchi tutaamua wenyewe hata kama mkichafua bado kama tunaamin tutazid kuamini, na mjuwe kuwa mnavyomchafua lowasa ndo mnampa uaminifu zaid kwa wanainchi, eleza sela zako tuskilize tuchamvuwe basi sio kuchafua mtu.