kazikwanza1981
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 1,577
- 729
Eti mabadiliko yapi, labda mahaba tuu
Yaani watu wanafuata mkumbo tu na hili neno mabadiliko. Wamekaririshwa kila mtu anasema hivyo, hata ukiwauliza hayo
mabadiliko ndio nini hawajui.
Eti mabadiliko yapi, labda mahaba tuu
WE LIKES LOWASSA....
hata hajui anachokiongea , huwezi kuwa waziri mkuu kama si mbunge wa jimbo. sasa sumaye kagombea ubunge kwenye jimbo ? katiba inazuia mbunge wa kuteuliwa na raisi kushika wadhifa wa waziri mkuu ila wizara nyingine aweza kushika. kama msukuma hujui mambo kaa kimya unatudhalilisha std seven wenzako.
Hivi Unaweza Kuteliwa kuwa WAZIRI MKUU BILA KUWA MBUNGE?
hiizi siasa za wapi?
huku si kutumia ujinga wa watu vibaya?
ndio maana wanawanyima Elimu.