Siri ya Lowassa yavuja

Siri ya Lowassa yavuja

Mwende huko na ukabila wenu na ukanda wenu sisi tupo kanda ya ziwa lakini tunasema madiliko
 
Hakuna ukweli hapo. Huo ni uongo Lowassa wala hakuwa na mpango wa kuhama chama wakati huo hayo yote ni uzushi mtupu na siasa za maji taka.
 
mnaowasikiliza wenye majungu angalieni msije jutia uamuzi wenu watu wenye maneno mengi mara nyingi mwisho wao ni mbaya
 
Kama imevuja panda juu ukazibe mrudi wazimu wewee? Mtatafutana mchawi msipate, tumieni hadi makamba au mfufueni Nyerere mtakuta kabadilika wala si mwana ccm.
 
Waziri mkuu anatokana na mbunge wa kuchaguliwa sio kiteuliwa ni huyo tu
 
----->>>WATU WOTE 37 WALIOKATWA HAKUNA HATA MMOJA ALIYERIDHIKA!
------>>>HAWAKUHOJIWA WALA KUJIELEZA!
------>>>WALITUMIA GHARAMA KUBWA SANA KTK KUZUNGUMA NCHI NZIMA!
----->>>INFACT MOSTLY WANA CHUKI ISPOKUWA NI WAVUMILIVU
----->>>MOSTLY KISAIKOLOJIA WAMEATHIRIKA KWA LILILOTOKEA!
----->>>LOWASSA SIO PANDIKIZI NI MZALENDO WA KWELI NDANI YA TAIFA LETU!
----->>>HAKUBALIANI NA LILILOTOKEA
***HE WANT TO PROVE JE NI KWELI HAKUBALIKI NDANI YA TAIFA HILI!**
*****TUNGOJE TUONE******
ii
 
Eti ana siri! Eti anamsubiri aje geita aropoke! Eti anataka mbowe awe waziri wa fedha kuendeleza ukanda! Mwl alishatqhqdhalisha ukiishiwa sera unaanza kutumia udini na ukanda kuji kujinasua
 
“Mimi nilikuwa pandikizi wa CCM ndani ya Chadema, baada ya kuona Mbowe natekeleza Ilani ya CCM katika kipindi changu cha Uongozi wakanifukuza,” alidai Matata.
Mwanamme mzima unajitaja kuwa nilikuwa pandikizi!?
Hii nchi imefika pabaya na ccm ndiye wa kulaumiwa na hakuna tena kulia lia bali kuiondoa madarakani. Ingekuwa nchi nyingine ungeshitakiwa kwa kukiri usaliti wa wazi.
Kweli ccm sio wasafi na sote tunajua, ndio maana wanang'ang'ania kubaki madarakani hata kwa kupandikiza watu sehemu nyingine.

 
Kwa maelezo yake tu kuwa Lowasa anataka kumteua Sumaye kuwa waziri mkuu,nimeishia hapo sijaendelea kusoma tena maana kama mgombea wa ubunge hajui katiba ya nchi inasemaje, amepotea uhalali wa kusema chochote na kikaaminika.ni muendelezo wa siasa za maji taka..
 
wewe kweli matopo ushaona wapi mtu akawa wazir mkuu mara mbili bac tumulidishe mwinyi awe raisi tena ili maisha yawe good
 


Msukuma ambaye ni mgombea wa CCM Jimbo la Geita Vijijini, alidai kuwa hadi sasa mpango wa Lowassa kama atashinda kuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kumteua Waziri Mkuu mstaafu aliyehamia Chadema, Frederick Sumaye kuwa waziri mkuu katika serikali yake.

Chanzo: Jambo leo
Kama gazeti linaweza kuandika upuuzi kama huu, ni hatari sana, inabidi lipuuzwe,
Waziri mkuu lazima awe mbunge wa jimbo, sumaye hagombei jimbo lolote hivyo hawezi kuwa waziri mkuiu. Mtu anayeeneza siasa za hivi apuuzwe. Wananci wa geita mmeshaona hizi chuya, zitupeni pembeni!
 
Kama Mwenyekiti wa chama wa Mkoa anashindwa kuelewa kuwa katiba inasema Waziri mkuu ni lazima awe Mbunge wa kuchaguliwa ujue chama hicho kimejaa watu wasio na uelewa. Sumaye atakuwaje waziri mkuu bila kuwa mbunge wa kuchaguliwa?
 
yaaani sera za wagombea wa ccm ni lowasa tu, duh kweli masisiem mmeshikwa pabaya
 
Kumbe ccm hamjaelewa bado. Ni hivi kashfa yoyote inayoelekezwa kwa rais ajaye Mh. Edward Lowassa haina mashiko kwa sasa sababu wafuasi wake nikiwemo mimi nilishaamua kumpigia kura.
Nashauri nguvu zenu mzielekeze kwenye kufafanua sera zenu kwa mnaowahutubia.
 
Lowasa alikuwa (na bado ni) lulu kwa wana ccm. 95% au zaidi ya wana ccm walitaka Lowasa awe rais wa Tanzania.
Walidhihirisha kwa kupigwa mabomu Dodoma (kwa mara ya kwanza kwa ccm) wakishinikiza Lowasa chaguo la wengi apitishwe kugombea urais, na walidhihirisha tena mbele ya JK kwa kumwambia wana imani na Lowasa.
Leo hii Lowasa ni yuleyule hajabadilika chochote tangu wamkate.
Kulikoni Lowasa ghafla kawa mbaya mbele ya watanzania?
Watanzania fungukeni, Lowasa ndiye anayekubalika na wananchi walio wengi.
Uchanguzi wa mwaka huu ni mpango wa Mungu kuwakomboa Watanzania kutoka unyonge na umasikini uliokithiri.
Wanaompiga vita Lowasa wanajisumbua bure, hata nyoyo zao zinawasuta.
 
Back
Top Bottom