Hapa kazi tu
Ndo hapo ukawa itakuwa ukiwa.. I wonder why wanajiamini na kutudanganya kuhusu mabadiko kwa kutumia uozo ulio bwaga na ccm
tell them that we will choose lowasa no matter what....mwaka huu huu mtataga sana lowasa ndo rais
chagua rais lowassa
Watasema mengi tuu mabadiliko ni lazimaa kwangu kichinjio changu kinamuwaza ukawa!