julius mahinya
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 1,152
- 384
Kila mtu anapenda kuwa huru na maamuzi yake mahali popote pale iwe kwenye ndoa, kazini n.k...
Shida ni kutoa uhuru kwa mtu mwingine mfano kumruhusu mke/mme kurudi nyumbani muda anaotaka!
Kwa wanaume, ukitaka kuwa huru usiulizwe ulizwe maswali ulikuwa wapi na nani au mke ananuna nuna! baada ya kumuoa ndani ya siku tatu za mwanzo wa maisha ya ndoa hasa siku ya kwanza nenda kapige story kitaa rudi saa nane, kesho yake wahi mapema.
Siku inayofuata rudi saa sita, kesho yake rudi saa kumi na moja, siku inayofuata rudi asubuhi, kesho yake rudi mapema, namaanisha kuchelewa iwe jadi yako mzee hutakuwa unauluzwa ulizwa na utakuwa huru kinoma!
Namaanisha kwa wale wanao taka uhuru katika ndoa zao nje nahapo kama ulianza na A wanataka umalize na A, Hii ni kwa wale ambao hawajaoa ili wakiingia wa-practice! uliyeoa don't try in ur marriage itakula kwako!
Shida ni kutoa uhuru kwa mtu mwingine mfano kumruhusu mke/mme kurudi nyumbani muda anaotaka!
Kwa wanaume, ukitaka kuwa huru usiulizwe ulizwe maswali ulikuwa wapi na nani au mke ananuna nuna! baada ya kumuoa ndani ya siku tatu za mwanzo wa maisha ya ndoa hasa siku ya kwanza nenda kapige story kitaa rudi saa nane, kesho yake wahi mapema.
Siku inayofuata rudi saa sita, kesho yake rudi saa kumi na moja, siku inayofuata rudi asubuhi, kesho yake rudi mapema, namaanisha kuchelewa iwe jadi yako mzee hutakuwa unauluzwa ulizwa na utakuwa huru kinoma!
Namaanisha kwa wale wanao taka uhuru katika ndoa zao nje nahapo kama ulianza na A wanataka umalize na A, Hii ni kwa wale ambao hawajaoa ili wakiingia wa-practice! uliyeoa don't try in ur marriage itakula kwako!