ameline
JF-Expert Member
- Jan 8, 2013
- 2,292
- 1,152
wala kama untaka uhuru.hakuna sababu ya kuoa..wewe urud nyumbani usiku daily cha mkeoutakula saa ngapi? utajadili mambo yenu ya maendeleo.saa.ngap?huo ni uhuni..ukishaoa au kuolewa huna budi.kubadilika na kuishi kama mtakavyokubaliana.kama mwenzio hapend uchelewe.heshim hisia zake na jitahid kuwah nyunbani..kampani ya mabachelor itakusaidia nin wewe ulieoa.au kuolewa? sio sahihi et kutafuta uhuru...kama uliukosa ukiwa bachelor ndo bas tena..