Siri ya Kuuwawa Zitto - UWONGO


Ha ha ha watajiju walishauriwa mapema waombe msamaha waeneleze siasa zao kwa kuwa ni vijana wazuri wakadhani ufitini ni dili ona sasa wamejiumbua
 
Safi sana Kamanda! pia Ningemshauri meneja wa Hiyo Hoteli ya Lunch Time kuchukua hatua za kisheria dhidi ya gazeti hilo!
 
Baabda ya kuwa nimepoteza imani na wewe Zitto sana naona kijana upo kwenye mstari. Kimya chako kilinifanya niamini wewe ni msaliti. Ila sitokaa kuamini kama masalia umewachinjia baharini. Kweli siasa ni zaidi ya uijuavyo.
 
Mwampamba ni hatari sana, inavyoonekana ni msaliti wa muda mrefu maana kwa inavyoonekana wote aliowahi kutumiana nao meseji alikuwa hafuti, anazihifadhi..ina maana alikuwa anajua atazihitaji, yaleyale ya ludo.,
vijana mmetuangusha sana
 
Wanazidi kututengenezea njia ya mwaka 2015. Waacheni waangaike zitto ameonyesha alivyokuwa makini.
 
Mpuuzi na huna adabu hapa ni GF unahamisha dhambi ya Zitto kupeleka kwa DR SLaa kuonyesha ana mfanya vibaya MTela,kama unataka kutueleza Zitto ndio alikuwa anamfanya Mtela ppeleka ujinga wako huko huko ,Mpuuzi sana uhuru wa JF isiwe kukosea adabu watu wazima , wewe ni mwehu Zitto amejiumbua hawezi kuwakana hawa vijana ameandika makala nyingi katika makala mbalimbali akiwasupport,hapa Jf hivyo hivyo kwa hiyo koma kama ulivyokoma kunyonya ziwa la Mama yako kumkosea adabu Dr Slaa namna hiyo
 
Waliokuwa wanajifanya wanamtetea Zitto kawaruka, hawajui, hajwahi kukaa nao na wajadili mambo yanayohusu Vyama vyao. Labda sasa watajadili mambo yanayotukabii kama Taifa, akiwmo yule aliyesema Zitto ni role model wake
 
Last edited by a moderator:
zito anasema matendo ya slaa yasifanywe kuwa ya taasisi

Mkuu ni vyema ukalifahamu hili mapema; Adui wa CCM ni Ufisadi, Ujinga, Maradhi, Umasikini, Rushwa, Huduma duni za afya, Ukosefu wa mitaala ya elimu, Migomo ya walimu, Migomo ya madaktari, Mikataba tata na Rais wa china, Mitandao ya urais ndani ya CCM, mfumuko wa bei na ugumu wa maisha kwa mwananchi wa kawaida na siyo Dr. Slaa kama mnavyotaka kutuaminisha sisi watanzania.
 
Kisaikolojia, mtu akizoea kukudanganya,kisaikolojia ukajenga dhana kuwa huyo mtu ni mwongo,hutamwamini kwa jambo lolote. hata akisema ukweli hutamwamini. ccm walivyo wajinga hawajui kuwa si tu kisaikojia wanawajengea watanzania usugu wa kutoamini jambo lolote watalosema. bali pia wanasaidia kukiua chama chao na kuongeza imani katika akili za watu kwa CHADEMA. mtu akisingiziwa jambo, halafu ikaja kuthibitika kuwa hilo jambo si kweli bali kasingiziwa tu, kisaikolojia watu huvutwa na huruma na imani dhidi ya mtu aliyesingiziwa jambo. propaganda dhidi ya huyo mtu zikiwa nyingi na zote zikathibitika kuwa ni uongo, imani na heshima ya watu huongezeka zaidi kiasi cha watu kuziba hata masikio yao wasiendelee kusikia upuuzi wa wapiga propaganda. hapo ndo hufikia mali wapiga propaganda hata wataposema jambo la kweli,watu hataliamini. kwa hiyo ccm wajue jinsi wanavyozidisha mbinu chafu dhidi ya chadema, ndivyo wanavyokidhoofisha zaidi chama chao kuelekea 2015 kwa watu kuzidi kukipuuza. na ndivyo wanavyosaidia kukiimarisha zaidi chadema kwa ku-win huruma na imani ya watu kuelekea 2015. ccm wasome nyakati. wabadilike na kuacha kuishi kwa mazoea kwa kuangalia nyuma jinsi walivyovifanya cuf, nccr mageuzi na tlp. kizazi cha dot.com si kizazi cha mwaka 47.
 
Chanzo cha habari hiyo kwenye gazeti la Mtanzania ni Juliana Shonza, ambaye amekuwa kipenzi cha wana CCM kwa maneno anayozungumza kuhusu chadema

Juliana Shonza: hatutakuamini tena uyasemayo.
 
asante mtani kwa ufafanuzi na kwa vile hii ni kauli yako mwenyewe basi watatumia wino na karatasi zao kuandika mambo ya maana.
Naungana wewe kumshkuru Zitto kwa hayo majibu nafikiri gazeti la Mtanzania linapaswa kuyaandika ukurasa wa mbele kwa uzito uleule walioandika uzushi wa kwanza kama kweli wao ni objecive
 
[QUOTE=Zitto mdogo wangu wewe ni kama swala Kati ya simba (ccm) na chui (cdm)maadui ni wengi pande zote jichunge vijana tupo nyuma yako
 

Read between lines utaona tofauti ya nilichoandika na tafsiri yako. Hawa jaamaa ni wapika kashfa wakubwa na nilichofanya ku-preempty kabla hajaingia maabara na kuja na kashfa kubwa na mark my word sintashangaa hawa jamaa walivyo viazi wakibeaba na kuileta siku moja hapa JF... Hawa jaamaaa ni wachumia tumbo wa kufa mtuuuu....

Kashfa za namna hii zipo na zishapikwa Zimbabwe kwa Kanan Banana na Zilimkuta Zuma wa South Africa.... Usikasirike I know I have criminal mind cause I love criminal physcology.... Naweza nisiwe GF kama wewe ila I use my brain too see what other dont usualy seee .... bahati mbaya kama hukupenda lakini I didnt mean no desrespect.... But face it hilo ni moja kati ya mabomu mabaya sanaa ambayoo hawa wachumia tumbooo wako-willing kuyatumia
 
Josephine Mushumbusi ID yake ni Josephine. Huyu Josephine03 ni mtu mwingine.
 
Last edited by a moderator:

hivi jamani, hizi kauli kweli zinamaanisha kuwa kilicho andikwa na mtanzania si cha kweli???. Ndugu zito, tunaomba utufafanulie. Nina hakika hao viongozi wenzako wasingependa kuona haya maneno, na nina hakika wewe unalijua hilo, lakini zaidi kabisa nina hakika hayo maneno hujayaandika kwa bahati mbaya, umeyaandika kwa makusudi kabisa pamoja na kujua mambo hayo niliyotangulia kuyasema.
 
Amen
sisi wapiga kura ni observant right wangejua wana ruin wangeacha na kuanza ku settle their mess since back in days ila kwakuwa Mungu yupo wao wapo upande wa Shetani sasa hawaoni na kila siku kila wizara inaboronga

amen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…