Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,104
- 828,989
Pamoja na upweke wake na kuogofya kwakwe kwa wale walio hai inawezekana wafu wenyewe wakifika huko ni full shangwe, full bata, full maokoto
Kuna simulizi za kusadikika kwamba huko makaburini kuna maisha yanaendelea kama huku duniani tuu .. Tofauti yake ni kwamba huku tunasubiri kufa ila wao huko wanasubiri kufufuliwa
Hii picha imenifikirisha sana
Zaidi soma


www.jamiiforums.com
Kuna simulizi za kusadikika kwamba huko makaburini kuna maisha yanaendelea kama huku duniani tuu .. Tofauti yake ni kwamba huku tunasubiri kufa ila wao huko wanasubiri kufufuliwa
Hii picha imenifikirisha sana
Zaidi soma



Sanaa ya kifo
Hii ni habari ngeni kabisa kwa wale watakaobahatika kusoma hii mada na pia wale wenye kupenda kujifunza vitu vipya ni sanaa ya kifo katika uhalisia wetu bila kuchanganya na doctrines za kiimani na kiasili. Kwenye mada nyingi tumeona uhayawani wa mwanadamu tumeona kwa sehemu kubwa jinsi kiumbe...



