siri ya jinsi ya kujiajiri!!!

Kwanza somo la ujasiriamali ni jipya hapa Tanzania. Pili mahali popote linapofundishwa kama vyuoni asilimia 100 ni natharia tu (theory), lecture, kukariri tu madesa, notice nk.
Mbaya zaidi hata hivyo vyuo vinavyofundisha ujasiriamali utakuta havina mradi wa ujasiriamali. Mwalimu mwenyewe wa some la ujasiriamali hata kama awe na PhD unakuta hana hata kioski, hata mradi wowote na maisha yake anategemea mshahara tu.
Katika hali kama hii tusitegemee mwanafunzi anayemaliza vyuo kama hivi atakuwa mjasiriamali. wote lazima wawe watafuata ajira serikalini.
 
hyu jamaa sijui kawakamata wangapi? kama wale 4rever vile! kama machinga tu wale...ingawa kinachosemwa ni kweli, ila uwongo wao siupend kabisa..utaratibu wa vijana kununua viwanja na kujenga nyumba ni mzuri ila utakuta unajenga nyumba then sijui utakaa humo na ule kitu gani..sasa..ni vema mkafanya biashara japo upo nyumba ya kupanga then utajenga taratibu..au jenga ukimaliza fanya biashara..ila forever siwapendi, lecture zao nzuri ila wao wanataka ukae ubembeleze watu.. uzalishaji saa ngapi
 
Kaka Isaack mbona porojo nyingi? Au na wewe umeanzisha biashara ya kuuza madeli ya icecream na mabeseni unataka kutuvalisha tai tukauze? Mbona haujaweka kitu chochote zaidi ya Benjamin Tower? Weka useful info utushawawishi.

Kk we umeenda mbali zaidi, u must be special.
 
kinachotufanya watanzania wengi kuwa masikini ni uchoyo wa information. Alikuja mfaransa m1 alitupatia mafunzo ya jinsi ya kupata mtaji,jinsi ya kuanzisha biashara yako.jinsi ya kukuza biashara yako mafunzo yalikuwa ya wiki 2. Baada ya kukomaa alituonyesha oppotunity nyingi zilizopo tanzania na jinsi wa tz tulivyo lala kweli nilijiona mjinga sana nikasema ndo maana wakija wageni wanatajirika haraka sana nakubaki tuna roho ya kwanini .jamani kuna oopotunity nyinngi sana ss ndo tumelala uku tukibaki kulaumu serikali .plz haya mafunzo yanatolewa bure pale benjamin mkapa tower bure kbsa hamna kiingilio stop blaming anyone except u r self.uwoga wako ndo umasikini wako.kwa wale wanaoamini ktk ujasiriamali plz chk with me nikupe mchakato mzima.

hili ni la msingi lakini ni faida kwa waliokuwa dar tu,vipi sisi wengine wa namtumbo?
 
haloo mm nayataka sana hayo mafunzo ila nakaa mbali but december nitakuwepo Dar lengo langu ni kujiajiri,Mtaji tayari ninao tatizo ni opportunities.
 
Nahc watz tuna laana fulani. Mtu kama Jose Isac ni wa kumshukuru lakin cuz hatuna culture ya kusema asante na ndo maana watu wanaanza kum beza...guys r we serious?

Na katoa namba ya cmu lakin bado tu munauliza maswali yasiyo na kichwa wala miguu.

Thx Joseph Isac, much appreciated. Binafsi nina zaid ya miaka kumi ya ajira ktk mashirika makubwa tu hapa tz lakin nimekutana na matatizo mengi sana kiasi ambacho nafikiri ni muda muafaka wa kujiajiri. Nimependa mf wako wa mtu aliye ajiriwa na Bhakhera na akapewa mkopo wa gari wa 50m hahaha. Nafikiri tatzo kubwa letu ni kutojiamin kama tunajua na tunaweza pia tunashindwa kuthubutu kwa kuogopa zile risks.

Anyways, mie ntakupigia cmu punde...thx
 
Isaack,
mimi nakuelewa; kama hayo mafunzo yamechapichwa, mwambie akuwekee kwenye pdf inachukua nafasi kidogo sana then unaweza ku upload hapa watu wakasoma
 
Asante. Kwa wenye postive attribute. Tar 22 na 23 sept kutakuwa na mafunzo. Tar 22 itakuwa kwa ajili ya wanawake tuu. Dr.maria all the way from nigeria ambaye anaishi u.k atakuja kutoa darasa na kutoa historia ya maisha yake.jinsi alivyokuwa billionar kwa ujasiria mali.wale serious people ambao wanataka kubadili system ya maisha yao kupitia ujasiriamali.check with me upate kadi yako mapema kadi hazitauzwa mlangoni. Tar 23 itakuwa ni wote yan ladies n gentelmen pia check with me. Pls si lazima utukane au uponde. wache watu wanaotaka hivi vitu. Wapate na sijalazimisha mtu. Ivo ka una jazba keep it for yourself.Hata ukichek toka mwanzo wa thread.nilitoa mchango tuu.kadi zote zinamaelezo yote.
Usiku mwema.
0765377506
 
Back
Top Bottom