Mjasiriamali1
JF-Expert Member
- Jun 8, 2009
- 891
- 237
tatizo la ajira limekuwa sugu na sio tz tuu ni dunian kote. Wanaofanikiwa ktk maisha kwa sasa ni wajasiria mali kama sio wanasiasa. leo hii nataka niwafundishe jinsi ya kujiajiri kuwa na big bussiness badala ya kutegemea kuwa mwajiriwa maisha yako yote. Baada ya kukaa kitaa miaka miwili nilibaatika kupata haya mafunzo ya ujasiriamali na sasa maisha yanaendelea vizuri