Siri ya Hussein Kumbe vs Siri ya Rayvany

Siri ya Hussein Kumbe vs Siri ya Rayvany

kidunula1

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2016
Posts
6,305
Reaction score
6,350
Salama ndugu humu!?

Kiukweli naupenda wimbo Wa Hussein Jumbe uitwao "Siri" lakini kijana Rayvan Wa WCB ameufanyia marudio kwa maboresho ya kisasa na nimejikuta nikiupenda zaidi kuliko ule Wa gwiji Jumbe, na hivyo naweza kusema hii ni mojawapo ya Remix Kali kabisa kuwahi kufanywa na wasanii wetu Wa kizazi kipya hapa nyumbani. He nini maoni yako ndugu?
Nimeshindwa kuupandisha hapa nimeambiwa forum hainiruhusu kupandisha wimbo wenye mp4 format hivyo mwenye huu wimbo na format zingine naomba aupandishe hapa.
 
Masaa sita hakuna alie reply! Unatakiwa ujue kua umeandika upuuzi!
 
Unauliza nani bora kati ya PELE na LIONEL MESSI..

wakati una miaka chini ya 30 ,yani hujawahi kumuona MESSI akicheza ofcourse bora kwako atakuwa ni MESSI..
 
Ni nyimbo nzuri but nasita kukubali ni kuwa ameurudia wimbo ule wa jumbe sbb amechukua maneno machache sana. But huu ni ushahidi mwingne kuwa wazee wetu walikua ni watunzi wazuri sana wa nyimbo. Ushasikia mwanamuziki wa 'zamani' ameirudia nyimbo ya mwanamuzki wa 'sasa'.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom