KakindoMaster
JF-Expert Member
- Dec 5, 2006
- 1,356
- 88
Hii naweza kusema ni made in Tanzania.
Hivi kweli tuna viongozi?
Account zote ktk mabenki zinajulikana wanamiliki akina nani bado JK na waziri Mkuu wanatwambia hawashikiki.
Hivi tuliwachagua hili wafanye nini?
Kama kazi imewashinda warudi wawaeleze wananchi wao wananchi watajua cha kufanya.
Hawa EPA kila kukicha tunawazungumzia nafikiri labda kama na viongozi wetu ni sehemu ya EPA vinginevyo mimi nitashindwa kuelewa maneno yao kabisa.
Inatakiwa waweke watu pale panapotakiwa, vinginevyo hata sioni haja ya kuwa na viongozi ni bora kila mutu ajihamulie anavyotaka basi.
Hivi kweli tuna viongozi?
Account zote ktk mabenki zinajulikana wanamiliki akina nani bado JK na waziri Mkuu wanatwambia hawashikiki.
Hivi tuliwachagua hili wafanye nini?
Kama kazi imewashinda warudi wawaeleze wananchi wao wananchi watajua cha kufanya.
Hawa EPA kila kukicha tunawazungumzia nafikiri labda kama na viongozi wetu ni sehemu ya EPA vinginevyo mimi nitashindwa kuelewa maneno yao kabisa.
Inatakiwa waweke watu pale panapotakiwa, vinginevyo hata sioni haja ya kuwa na viongozi ni bora kila mutu ajihamulie anavyotaka basi.