Siri kuu 4 usizozijua wazitumiazo wafanyabiashara wakubwa kuwa juu zaidi ya wajasiriamali

Status
Not open for further replies.
PAMOJA na kudhani umepata elimu sahihi Finland, bado huwezi kutofautisha kati ya mjasiriamali na mfanyabiashara, kwa kusaidia tu,

kila mjasiriamali ni mfanyabiashara lakini c kila mfanyabiashara ni mjasiriamali...

Pia, nadhani nawe ni miongoni mwa wasiojua mbinu za biashara japo unadai umesoma nje na kuwadharau waliosoma ndani, hakuna mbinu ya biashara ya kulumbana na mpinzani kama ufanyavyo wewe, unaponda wanaotoa elimu kama utoayo wewe ili kuwaaminisha watu kuwa walipo c sahihi, nadhani ungeboresha kwako kwa kutumia weaknesses zao ili watu wakiona huduma yako nzuri wajilete na c kusema wanadanganywa au ulitaka nao wafundishe kama ulivyojifunza nje? ubunifu ndg ni muhimu otherwise, utabaki kujiproud na elimu yako ya nje ambayo yaweza kuwa ni certificate tu, baadhi ya hao unaosema wanadanganya wametoka nje kuchukua elimu zao za juu but wanatumia mbinu za kijasiriamali kushika soko na c lugha za kejeli. unadhan kitabu chako cha kumi na tano elf, kitaweza kumaliza changamoto zote? KASOME TENA.
 
OFA MAALUM KWA AJILI YA WAJASIRIAMALI: Ukinunua kitabu hiki cha Siri kuu 4 za ukasiriamali, utapata kitabu kimoja bure kama ofa, aidha cha jinsi ya kufanya kilimo cha greenhouse au cha jinsi ya kutengeneza mkaa wa kisasa. Chaguo lako. Ofa hii itakwisha tarehe 30.06
 
hapa kuna tatizo kidogo,kwa nini hizo njia nne mkuu huzitaji sasa? Taja hizo njia nne, kisha wanaotaka maelezo zaidi watakufuata. Kinyume na hivyo, nashawishika kuamini kwamba hukuwa na mpango wa kusaidia.

Kupunguza malumbano, zitaje hizo njia nne.

La pili, kama kila mtu atataka alipwe kwa kile alichonacho/au atakachochangia jamvi letu hili litakosa maana na kujifia. Kupitia jamvi hili watu wengi wanapona na bado watoa ujuzi wao bure Mungu anawaona huko huko waliko.
 
Pdf za kiyosaki zinauzwa babu. We unafanya piracy. Nyie ndo mnaorudisha nyuma wasanii

wakulaumiwa aliyeweka youtube c atakae download nenda youtube andika richie daddy robert kiyosak halafu uniambie hayo material yanayotoka you tube ni illigal wezenu wana mda wao wakisharudisha pesa yake wana achia kama msaada wewe hauna tofauti na wasanii wa bongo wana upload manyimbo yao kwenye blogs watu wakipakua anaanza kushangaa...... tusimlaum aliyeokota tumlaumu aliyetupa kwa kutokuwa mwangalifu
 
OFA MAALUM KWA AJILI YA WAJASIRIAMALI: Ukinunua kitabu hiki cha Siri kuu 4 za ukasiriamali, utapata kitabu kimoja bure kama ofa, aidha cha jinsi ya kufanya kilimo cha greenhouse au cha jinsi ya kutengeneza mkaa wa kisasa. Chaguo lako. Ofa hii itakwisha tarehe 30.06

Nimeku PM
 
Anazingua tu huyo, ndo walewale, hizo njia huzitaji unataka kutuuzia soft copy pacpo kuona yaliyomo
 
Habari zenu. Kutokana na umuhimu wa topic yenyewe inavyowasumbua wajasiriamali wengi wadogo nchini, nimeona umuhimu wa kutoa nafasi hii kuwafahamisha siri kuu 4 usizozijua wazitumiazo wafanyabiashara wakubwa kuwa juu zaidi ya wajasiriamali.

Kabla sijaanza kufanya biashara zangu miaka kadhaa iliyopita nilihudhuria semina kadhaa za ujasiriamali zitolewazo hapa nchini. Gharama ya mafunzo yale ilikuwa sh. 255,000 kwa siku kadhaa. Nilipotoka pale nilijaribu kutumia mafunzo yale kuyaweka katika biashara yangu ila biashara ile ikafa. Baada ya biashara ile kufa, Mungu alisaidia nikapata nafasi ya kwenda kusoma katika chuo kikuu nchini Finland kiitwacho Rovaniemi UAS (sasa Lapland UAS). Kule nilipata mafunzo kinyume kabisa na jinsi nilivyofundishwa na wale walimu waliojiita walimu bora wa ujasiriamali Tz.

Nikagundua kuwa wamama na vijana wengi nchini wanaibiwa hela zao na watoa mafunzo mbalimbali ya ujasiriamali nchini wanaotoa mafunzo yasiyosaidia kabisa kufanya biashara za wajasiriamali nchini kukua, maana kama zingekuwa zinasaidia basi leo hii tungeona mabadiliko makubwa sana katika hali za maisha za wajasiriamali wetu nchini.

Nchini Finland tulifundishwa jinsi wafanyaiashara wakubwa wanavyofanya biashara tofauti kabisa na wajasiriamali wadogo. Na hii imewasaidia biashara zao walizozianzisha zikiwa ndogo, kuwa kubwa ndani ya muda mfupi na kupata faida kubwa. Nimeamua kuwasaidia wajasiria mali wadogo nchini nao wafahamu ujuzi huu kwani baada ya kurudi nchini na kuanzisha biashara yangu ya kutengeneza mkaa wa kisasa na kutumia ujuzi ule, nimeona mabadiliko makubwa ndani ya muda mfupi. Nawe waweza fanya vivyo hivyo kwa kupata ebook (softcopy) ninayoiuza kwa sh. 15,000/- tu.

Kitakufundisha kuacha kuwa mjasiriamali na kuwa mfanyabiashara kamili mwenye kuingiza faida na si kipato cha kula chakula kwa siku. Pia kitakuonyesha ni jinsi gani umekuwa ukidanganywa na kuliwa pesa zako bure miaka nenda rudi na biashara yako hailui. Kwa anayekihitaji tafadhali usisite kuni sms, PM au kunipigia 0758 308193.

Biashara sio ngumu kama unavyodhani wala si complicated kama wao wanavyotaka ufahamu. Siri wanayotumia ni kufanya biashara ionekane ngumu ili uone huwezi kufanya ili uendelee kufikiri unahitaji elimu zaidi na kuendelea kuhudhuria mafunzo yao na wao waendelee kukuibia. Biashara inahitaji vitu 4 tu ambavyo ni rahisi kufanya na hivi ndivyo wafanyabiashara wakubwa huvitumi na wajasiriamali wadogo hawavitumii. Walimu hawa wanakutisha kwamba changamoto za biashara ni ngumu na wewe huwezi pambana nazo eti mpaka upate mafunzo yao hayo expensive, wakati ni njia nne tu unatakiwa uzitumie na hizi challenges huwezi kumbana nazo. So chukua nafasi hii kujifunza real business na si watu hawa wanaokulisha theories ambazo wao wenye haajawahi zitumia. Chaguo ni lako wengine wanasema kazi kwako.

Asanteni

Ndugu niongezee kidogo kutoka ushauri ulioupata kutoka kwa kichwa boga.
Inaleta shida kidogo kwa wewe ulieanza na majigambo ya elimu yako ya nje tena ya biashara ilihali unashindwa kabisa kutofautisha kati ya neno mfanya biashara na mjasirialiamali.
Nafahamu si wewe tu ila ni wengi lakini tatizo linakuja pale wewe unapo dharau vya ndani na kuvikweza vya nje,sasa ni bora basi ungethibitisha hilo kwa vitendo ila ni dhahiri kwamba licha ya hio taaluma yako ya finland wewe bado ni mchanga sana kwenye elimu ya ujasiriamali.
Mimi nina elimu ya hapa hapa bongo changanyikeni ila ngoja nikupe faida na elimu yako ya finland kwanini kichwa boga anakwambia kwamba mtu yeyote anaweza kua mfanya biashara ila si kila mtu anaweza kua mjasiriamali.
Mjasiriamali ni mtu mwenye taaluma ya ujasiriamali bali mfanya biashara ni mtu anaefanya biashara pasipo kua na taaluma katika biashara na hapo ndipo unapoambiwa kwamba si kila mtu anaweza kua mjasiriamali.Ziko theory mbali mbali ambazo zinathibitisha pia kwamba wapo wenye intreprenurial skills kwakuzaliwa mfano most of chaga tz,kikuyu Kenya,Ibo Kenya etc.
Hivyo mjasiriamali si mfanya biashara mdogo kama unavyo wapotosha watu bali ni mtu mwenye taaluma kwenye biashara.
Kama unahoja unakaribishwa ila si vema kudharau vya ndani ilihali wewe umesoma nje lakini hukuelimika.
 
Ndugu niongezee kidogo kutoka ushauri ulioupata kutoka kwa kichwa boga.
Inaleta shida kidogo kwa wewe ulieanza na majigambo ya elimu yako ya nje tena ya biashara ilihali unashindwa kabisa kutofautisha kati ya neno mfanya biashara na mjasirialiamali.
Nafahamu si wewe tu ila ni wengi lakini tatizo linakuja pale wewe unapo dharau vya ndani na kuvikweza vya nje,sasa ni bora basi ungethibitisha hilo kwa vitendo ila ni dhahiri kwamba licha ya hio taaluma yako ya finland wewe bado ni mchanga sana kwenye elimu ya ujasiriamali.
Mimi nina elimu ya hapa hapa bongo changanyikeni ila ngoja nikupe faida na elimu yako ya finland kwanini kichwa boga anakwambia kwamba mtu yeyote anaweza kua mfanya biashara ila si kila mtu anaweza kua mjasiriamali.
Mjasiriamali ni mtu mwenye taaluma ya ujasiriamali bali mfanya biashara ni mtu anaefanya biashara pasipo kua na taaluma katika biashara na hapo ndipo unapoambiwa kwamba si kila mtu anaweza kua mjasiriamali.Ziko theory mbali mbali ambazo zinathibitisha pia kwamba wapo wenye intreprenurial skills kwakuzaliwa mfano most of chaga tz,kikuyu Kenya,Ibo Kenya etc.
Hivyo mjasiriamali si mfanya biashara mdogo kama unavyo wapotosha watu bali ni mtu mwenye taaluma kwenye biashara.
Kama unahoja unakaribishwa ila si vema kudharau vya ndani ilihali wewe umesoma nje lakini hukuelimika.

Mimi sibishani na wewe wala sina sababu hiyo. Ubora wa comment zako tu inaonesha elimu uliyopata haijakusaidia kubadilisha mentality yako iliyokuwa haijakuwa civilized. Comment za kushambulia na kutukana inaonyesha elimu uliyopata haikukusaidia. Ungewaacha wengine walionania ya kujifunza watumie huo mkopo uliotumia kusomea, labda wao wangeleta tofauti. So una uhuru wa kusema unalotaka.
 
Kwa watu wote wanaotembelea posts zangu. Mimi ninachojali ni kuhusu watu wote wanaokuwa wamefaidika na wanaonipigia kunieleza kuwa mafunzo na vitabu vyangu vimeleta mabadiliko na mafanikio katika maisha yao. Hicho ndio kitu kinachonipa furaha. Kwa wale wenye negative thinking na wanaopenda kukosoa wenzao pasipo sababu za msingi, mi nasema kuwa una uhuru na uko katika nchi huru tokea 1961 una uhuru wa kusema chochote, haimaanishi mimi nitajali au kusoma posts zinazowakashifu wanaJF wengine au ku kashifu their intelligence. Kila mtu ana uhuru wa kusema chochote, ndio maana nawapa credit waanzilishi wa forums hizi. Wamefasnya kazi kubwa kuwapa wasio na ufahamu nafasi ya kuongea.

Nawapongeza wote mlioamua kuachana na umaskini na kuamua kujiendeleza. Hata Yesu alisema huwezi kumridhisha kila mtu. We fanya ualoamini. Nashukuru kwa support yenu na mambo mazuri yanakuja.
 
Mimi sibishani na wewe wala sina sababu hiyo. Ubora wa comment zako tu inaonesha elimu uliyopata haijakusaidia kubadilisha mentality yako iliyokuwa haijakuwa civilized. Comment za kushambulia na kutukana inaonyesha elimu uliyopata haikukusaidia. Ungewaacha wengine walionania ya kujifunza watumie huo mkopo uliotumia kusomea, labda wao wangeleta tofauti. So una uhuru wa kusema unalotaka.

Ama kweli mkuki kwa ngurue,hivi umesoma vizur ulichokiandika kama kinawatendea haki wanaoendesha elemu za ujasiriliamali hapa tz?rudia kusoma tena uone jinsi ulivyowakandia kisa tu wewe umesoma finland,mimi nime comment kulingana na comment yako,ver sor kama nimekukwaza mkuu inawezekana ni matatizo yakusoma changanyikeni hapa bongo huenda ningepata elimu finland isingekua hivyo.
 
PAMOJA na kudhani umepata elimu sahihi Finland, bado huwezi kutofautisha kati ya mjasiriamali na mfanyabiashara, kwa kusaidia tu,

kila mjasiriamali ni mfanyabiashara lakini c kila mfanyabiashara ni mjasiriamali...

Pia, nadhani nawe ni miongoni mwa wasiojua mbinu za biashara japo unadai umesoma nje na kuwadharau waliosoma ndani, hakuna mbinu ya biashara ya kulumbana na mpinzani kama ufanyavyo wewe, unaponda wanaotoa elimu kama utoayo wewe ili kuwaaminisha watu kuwa walipo c sahihi, nadhani ungeboresha kwako kwa kutumia weaknesses zao ili watu wakiona huduma yako nzuri wajilete na c kusema wanadanganywa au ulitaka nao wafundishe kama ulivyojifunza nje? ubunifu ndg ni muhimu otherwise, utabaki kujiproud na elimu yako ya nje ambayo yaweza kuwa ni certificate tu, baadhi ya hao unaosema wanadanganya wametoka nje kuchukua elimu zao za juu but wanatumia mbinu za kijasiriamali kushika soko na c lugha za kejeli. unadhan kitabu chako cha kumi na tano elf, kitaweza kumaliza changamoto zote? KASOME TENA.

well said. huyu hana jipya anataka kuuza kitabu. AKASOME TENA
 
Katika Uzi zilizowahi kuniboa hii in namba moja. mtoa maada kuona wabongo maboya sana.apeleke huko kitabu chake.Luna ebooks kibao nzuri na ni bureeeee!
 
Raisi wetu mmoja mstaafu aliwahi kusema miaka ya nyuma kuwa vijana wengi wa tz wamekuwa wakibanwa socially hivyo anapopata nafasi ya uhuru wa kutoa maoni anaona ndio kapewa nafasi ya kutolea maasira yake kwa wengine. Watu wengi umaskini unawakaba na wanakuwa na stress pamoja na depression hivyo anahitaji amkashifu mtu ili ajisikie vizuri. Mwisho wa siku anabaki na umaskini na depression yake.

Anapotokea mtu anajaribu kusaidia wengine haijalishi kwa njia gani, inabidi apewe ushirikiano. Yesu alisema asiyefanya kazi na asile. Tumieni fursa hizi kujifunza na kuondokana na umaskini wetu maana tunaishi mara 1 tu. Hongera bwana Biashara2000 watu wengi wanaonekana kukukubali ila wachache wanabaki na maisha yao ya aina ile ile siku nenda rudi.
 
Raisi wetu mmoja mstaafu aliwahi kusema miaka ya nyuma kuwa vijana wengi wa tz wamekuwa wakibanwa socially hivyo anapopata nafasi ya uhuru wa kutoa maoni anaona ndio kapewa nafasi ya kutolea maasira yake kwa wengine. Watu wengi umaskini unawakaba na wanakuwa na stress pamoja na depression hivyo anahitaji amkashifu mtu ili ajisikie vizuri. Mwisho wa siku anabaki na umaskini na depression yake.

Anapotokea mtu anajaribu kusaidia wengine haijalishi kwa njia gani, inabidi apewe ushirikiano. Yesu alisema asiyefanya kazi na asile. Tumieni fursa hizi kujifunza na kuondokana na umaskini wetu maana tunaishi mara 1 tu. Hongera bwana Biashara2000 watu wengi wanaonekana kukukubali ila wachache wanabaki na maisha yao ya aina ile ile siku nenda rudi.

Well said
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom