Siri kuu 4 usizozijua wazitumiazo wafanyabiashara wakubwa kuwa juu zaidi ya wajasiriamali

Status
Not open for further replies.
Heshima ni ya bure mkuu. Hapo unatutukana watanzania wote ikiwamo wewe mmojawapo. Nawe ni mgonjwa wa ajabu.

hehehehe samahani mkuu. jamaa kaniudhi mno. anawadharau wanaofundisha ujasiriamali hapa tz kwa sababu tu yeye kaenda kusoma finland na si ajabu ni kichuo cha kipuuzi tu cha mtaani. na anaona anajiona kuwa tactics zake ni bora kuliko za wengine huku yeye mwenyewe anafanya hicho hicho.
 
Mi sitoi theory ila ni experience yangu kama mfanyabiashara. Halafu pia nadhani sisi watanzania ni watu wazuri sana, naomba usiwatukane watz kwa kuwasema wana ugonjwa wa ajabu. Na wewe si mtz so una ugonjwa wa ajabu???

ulipaswa kutowaponda kisha ukatangaza kitabu chako style ile ile unayoiona kuwa haina tija, nawe unaitumia hiyo hiyo.
 
Sawa mkuu.Kuhusu walimu wa ujasiriamali Tanzania kwa kweli uko sahihi..
Hiyo copy naisi itakua nzuri sana
 
hehehehe samahani mkuu. jamaa kaniudhi mno. anawadharau wanaofundisha ujasiriamali hapa tz kwa sababu tu yeye kaenda kusoma finland na si ajabu ni kichuo cha kipuuzi tu cha mtaani. na anaona anajiona kuwa tactics zake ni bora kuliko za wengine huku yeye mwenyewe anafanya hicho hicho.

Ndio amekuudhi ila na wewe umetumia lugha sio nzuri sana. Pia umeita chuo cha mwenzio ni cha kipuuzi. Mi nadhani tuweke fikra zetu katika kujikomboa na umaskini na kuacha kukosoana kunakopoteza muda. Na hii ndio UKAWA wanaifanya na kupoteza muda mpaka tunashindwa kupata katiba nzuri. Na hiyo itafanya katiba iwe ina favor CCM tu maana wao ndio walibaki ndani. Sasa huoni kwa mentality yao wanawafaidisha CCM badala ya wao pia?
 
Bwana Biashara2000 mimi nimekuelewa, lakini pamoja na maelezo yako mengi na mazuri ila yamekuwa na mapungufu ya kuwashawishi wasomaji. Ungetuwekea dondo kidogo za kitabu chako au chapter 1 au 2 ambao utaonyesha ubora wa kitabu chako na kukitofautisha na vingine Watanzania vitabu tunanunua sana hata vya laki au na zaidi, maneno yako tu hayawezi kutushawishi. Alafu hawa walimu wa ujasiliamari tusiwabeze wengi wao wamefanya kazi nzuri japo bado tunayo safari ndefu.
 
wewe unataka kuwasaidia watanzania ki~CCM tumekupata! if u want to help tzs help them and advise freely 'cause wat u do is the same to other con~men teach show with one heart
 
Bwana Biashara2000 mimi nimekuelewa, lakini pamoja na maelezo yako mengi na mazuri ila yamekuwa na mapungufu ya kuwashawishi wasomaji. Ungetuwekea dondo kidogo za kitabu chako au chapter 1 au 2 ambao utaonyesha ubora wa kitabu chako na kukitofautisha na vingine Watanzania vitabu tunanunua sana hata vya laki au na zaidi, maneno yako tu hayawezi kutushawishi. Alafu hawa walimu wa ujasiliamari tusiwabeze wengi wao wamefanya kazi nzuri japo bado tunayo safari ndefu.

Msimuandame mwenzenu. Watakaotaka kununua watanunua, wasiotaka hawatanunua. Ila hiyo inaonekana kama vile hamna pesa mnatafuta tu kisingizio
 
wewe unataka kuwasaidia watanzania ki~CCM tumekupata! if u want to help tzs help them and advise freely 'cause wat u do is the same to other con~men teach show with one heart

jina lako linafanana na ubora wa maelezo yako
 
Tapeli tuu huyu mkuu

Mimi mwenyewe siku zote nimekuwa na doubt na hawa watu wanaotangaza biashara zao humu jamii forum. Ila kutokana na maelezo ya huyu mdau niliamua tu niitoe hiyo 15,000 potelea mbali, ila baada ya kukisoma hicho kitabu chake nikaona ni information ambazo ziko tofauti na info mbalimbali zilizoko out there. Mimi nakushauri jaribu kununua naamini nawe utabarikiwa.
 
habari zenu. Kutokana na umuhimu wa topic yenyewe inavyowasumbua wajasiriamali wengi wadogo nchini, nimeona umuhimu wa kutoa nafasi hii kuwafahamisha siri kuu 4 usizozijua wazitumiazo wafanyabiashara wakubwa kuwa juu zaidi ya wajasiriamali.

Kabla sijaanza kufanya biashara zangu miaka kadhaa iliyopita nilihudhuria semina kadhaa za ujasiriamali zitolewazo hapa nchini. Gharama ya mafunzo yale ilikuwa sh. 255,000 kwa siku kadhaa. Nilipotoka pale nilijaribu kutumia mafunzo yale kuyaweka katika biashara yangu ila biashara ile ikafa. Baada ya biashara ile kufa, mungu alisaidia nikapata nafasi ya kwenda kusoma katika chuo kikuu nchini finland kiitwacho rovaniemi uas (sasa lapland uas). Kule nilipata mafunzo kinyume kabisa na jinsi nilivyofundishwa na wale walimu waliojiita walimu bora wa ujasiriamali tz.

Nikagundua kuwa wamama na vijana wengi nchini wanaibiwa hela zao na watoa mafunzo mbalimbali ya ujasiriamali nchini wanaotoa mafunzo yasiyosaidia kabisa kufanya biashara za wajasiriamali nchini kukua, maana kama zingekuwa zinasaidia basi leo hii tungeona mabadiliko makubwa sana katika hali za maisha za wajasiriamali wetu nchini.

Nchini finland tulifundishwa jinsi wafanyaiashara wakubwa wanavyofanya biashara tofauti kabisa na wajasiriamali wadogo. Na hii imewasaidia biashara zao walizozianzisha zikiwa ndogo, kuwa kubwa ndani ya muda mfupi na kupata faida kubwa. Nimeamua kuwasaidia wajasiria mali wadogo nchini nao wafahamu ujuzi huu kwani baada ya kurudi nchini na kuanzisha biashara yangu ya kutengeneza mkaa wa kisasa na kutumia ujuzi ule, nimeona mabadiliko makubwa ndani ya muda mfupi. Nawe waweza fanya vivyo hivyo kwa kupata ebook (softcopy) ninayoiuza kwa sh. 15,000/- tu.

Kitakufundisha kuacha kuwa mjasiriamali na kuwa mfanyabiashara kamili mwenye kuingiza faida na si kipato cha kula chakula kwa siku. Pia kitakuonyesha ni jinsi gani umekuwa ukidanganywa na kuliwa pesa zako bure miaka nenda rudi na biashara yako hailui. Kwa anayekihitaji tafadhali usisite kuni sms, pm au kunipigia 0758 308193.

Biashara sio ngumu kama unavyodhani wala si complicated kama wao wanavyotaka ufahamu. Siri wanayotumia ni kufanya biashara ionekane ngumu ili uone huwezi kufanya ili uendelee kufikiri unahitaji elimu zaidi na kuendelea kuhudhuria mafunzo yao na wao waendelee kukuibia. Biashara inahitaji vitu 4 tu ambavyo ni rahisi kufanya na hivi ndivyo wafanyabiashara wakubwa huvitumi na wajasiriamali wadogo hawavitumii. Walimu hawa wanakutisha kwamba changamoto za biashara ni ngumu na wewe huwezi pambana nazo eti mpaka upate mafunzo yao hayo expensive, wakati ni njia nne tu unatakiwa uzitumie na hizi challenges huwezi kumbana nazo. So chukua nafasi hii kujifunza real business na si watu hawa wanaokulisha theories ambazo wao wenye haajawahi zitumia. Chaguo ni lako wengine wanasema kazi kwako.

Asanteni
tunashukuru kwa utangulizi wako wa njia 4, hujaelezea jinsi ya kulipa ili nipate e-book.
 
Mimi mwenyewe siku zote nimekuwa na doubt na hawa watu wanaotangaza biashara zao humu jamii forum. Ila kutokana na maelezo ya huyu mdau niliamua tu niitoe hiyo 15,000 potelea mbali, ila baada ya kukisoma hicho kitabu chake nikaona ni information ambazo ziko tofauti na info mbalimbali zilizoko out there. Mimi nakushauri jaribu kununua naamini nawe utabarikiwa.

Hongera zako
 
Mimi mwenyewe siku zote nimekuwa na doubt na hawa watu wanaotangaza biashara zao humu jamii forum. Ila kutokana na maelezo ya huyu mdau niliamua tu niitoe hiyo 15,000 potelea mbali, ila baada ya kukisoma hicho kitabu chake nikaona ni information ambazo ziko tofauti na info mbalimbali zilizoko out there. Mimi nakushauri jaribu kununua naamini nawe utabarikiwa.

consolata2000 na biashara2000,,mnaonekana nyie kampuni 1,,wale wale
 
Habari zenu. Kutokana na umuhimu wa topic yenyewe inavyowasumbua wajasiriamali wengi wadogo nchini, nimeona umuhimu wa kutoa nafasi hii kuwafahamisha siri kuu 4 usizozijua wazitumiazo wafanyabiashara wakubwa kuwa juu zaidi ya wajasiriamali.

Kabla sijaanza kufanya biashara zangu miaka kadhaa iliyopita nilihudhuria semina kadhaa za ujasiriamali zitolewazo hapa nchini. Gharama ya mafunzo yale ilikuwa sh. 255,000 kwa siku kadhaa. Nilipotoka pale nilijaribu kutumia mafunzo yale kuyaweka katika biashara yangu ila biashara ile ikafa. Baada ya biashara ile kufa, Mungu alisaidia nikapata nafasi ya kwenda kusoma katika chuo kikuu nchini Finland kiitwacho Rovaniemi UAS (sasa Lapland UAS). Kule nilipata mafunzo kinyume kabisa na jinsi nilivyofundishwa na wale walimu waliojiita walimu bora wa ujasiriamali Tz.

Nikagundua kuwa wamama na vijana wengi nchini wanaibiwa hela zao na watoa mafunzo mbalimbali ya ujasiriamali nchini wanaotoa mafunzo yasiyosaidia kabisa kufanya biashara za wajasiriamali nchini kukua, maana kama zingekuwa zinasaidia basi leo hii tungeona mabadiliko makubwa sana katika hali za maisha za wajasiriamali wetu nchini.

Nchini Finland tulifundishwa jinsi wafanyaiashara wakubwa wanavyofanya biashara tofauti kabisa na wajasiriamali wadogo. Na hii imewasaidia biashara zao walizozianzisha zikiwa ndogo, kuwa kubwa ndani ya muda mfupi na kupata faida kubwa. Nimeamua kuwasaidia wajasiria mali wadogo nchini nao wafahamu ujuzi huu kwani baada ya kurudi nchini na kuanzisha biashara yangu ya kutengeneza mkaa wa kisasa na kutumia ujuzi ule, nimeona mabadiliko makubwa ndani ya muda mfupi. Nawe waweza fanya vivyo hivyo kwa kupata ebook (softcopy) ninayoiuza kwa sh. 15,000/- tu.

Kitakufundisha kuacha kuwa mjasiriamali na kuwa mfanyabiashara kamili mwenye kuingiza faida na si kipato cha kula chakula kwa siku. Pia kitakuonyesha ni jinsi gani umekuwa ukidanganywa na kuliwa pesa zako bure miaka nenda rudi na biashara yako hailui. Kwa anayekihitaji tafadhali usisite kuni sms, PM au kunipigia 0758 308193.

Biashara sio ngumu kama unavyodhani wala si complicated kama wao wanavyotaka ufahamu. Siri wanayotumia ni kufanya biashara ionekane ngumu ili uone huwezi kufanya ili uendelee kufikiri unahitaji elimu zaidi na kuendelea kuhudhuria mafunzo yao na wao waendelee kukuibia. Biashara inahitaji vitu 4 tu ambavyo ni rahisi kufanya na hivi ndivyo wafanyabiashara wakubwa huvitumi na wajasiriamali wadogo hawavitumii. Walimu hawa wanakutisha kwamba changamoto za biashara ni ngumu na wewe huwezi pambana nazo eti mpaka upate mafunzo yao hayo expensive, wakati ni njia nne tu unatakiwa uzitumie na hizi challenges huwezi kumbana nazo. So chukua nafasi hii kujifunza real business na si watu hawa wanaokulisha theories ambazo wao wenye haajawahi zitumia. Chaguo ni lako wengine wanasema kazi kwako.

Asanteni

ujasiriamali juu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom