Biashara2000
JF-Expert Member
- Nov 9, 2013
- 636
- 540
Habari zenu. Kutokana na umuhimu wa topic yenyewe inavyowasumbua wajasiriamali wengi wadogo nchini, nimeona umuhimu wa kutoa nafasi hii kuwafahamisha siri kuu 4 usizozijua wazitumiazo wafanyabiashara wakubwa kuwa juu zaidi ya wajasiriamali.
Kabla sijaanza kufanya biashara zangu miaka kadhaa iliyopita nilihudhuria semina kadhaa za ujasiriamali zitolewazo hapa nchini. Gharama ya mafunzo yale ilikuwa sh. 255,000 kwa siku kadhaa. Nilipotoka pale nilijaribu kutumia mafunzo yale kuyaweka katika biashara yangu ila biashara ile ikafa. Baada ya biashara ile kufa, Mungu alisaidia nikapata nafasi ya kwenda kusoma katika chuo kikuu nchini Finland kiitwacho Rovaniemi UAS (sasa Lapland UAS). Kule nilipata mafunzo kinyume kabisa na jinsi nilivyofundishwa na wale walimu waliojiita walimu bora wa ujasiriamali Tanzania.
Nikagundua kuwa wakinamama na vijana wengi nchini wanaibiwa hela zao na watoa mafunzo mbalimbali ya ujasiriamali nchini wanaotoa mafunzo yasiyosaidia kabisa kufanya biashara za wajasiriamali nchini kukua, maana kama zingekuwa zinasaidia basi leo hii tungeona mabadiliko makubwa sana katika hali za maisha za wajasiriamali wetu nchini.
Nchini Finland tulifundishwa jinsi wafanyaiashara wakubwa wanavyofanya biashara tofauti kabisa na wajasiriamali wadogo. Na hii imewasaidia biashara zao walizozianzisha zikiwa ndogo, kuwa kubwa ndani ya muda mfupi na kupata faida kubwa. Nimeamua kuwasaidia wajasiria mali wadogo nchini nao wafahamu ujuzi huu kwani baada ya kurudi nchini na kuanzisha biashara yangu ya kutengeneza mkaa wa kisasa na kutumia ujuzi ule, nimeona mabadiliko makubwa ndani ya muda mfupi. Nawe waweza fanya vivyo hivyo kwa kupata ebook (softcopy) ninayoiuza kwa sh. 15,000/- tu.
Kitakufundisha kuacha kuwa mjasiriamali na kuwa mfanyabiashara kamili mwenye kuingiza faida na si kipato cha kula chakula kwa siku. Pia kitakuonyesha ni jinsi gani umekuwa ukidanganywa na kuliwa pesa zako bure miaka nenda rudi na biashara yako hailui. Kwa anayekihitaji tafadhali usisite kuni sms, PM au kunipigia 0758 308193.
Biashara sio ngumu kama unavyodhani wala si complicated kama wao wanavyotaka ufahamu. Siri wanayotumia ni kufanya biashara ionekane ngumu ili uone huwezi kufanya ili uendelee kufikiri unahitaji elimu zaidi na kuendelea kuhudhuria mafunzo yao na wao waendelee kukuibia. Biashara inahitaji vitu 4 tu ambavyo ni rahisi kufanya na hivi ndivyo wafanyabiashara wakubwa huvitumi na wajasiriamali wadogo hawavitumii. Walimu hawa wanakutisha kwamba changamoto za biashara ni ngumu na wewe huwezi pambana nazo eti mpaka upate mafunzo yao hayo expensive, wakati ni njia nne tu unatakiwa uzitumie na hizi challenges huwezi kumbana nazo. So chukua nafasi hii kujifunza real business na si watu hawa wanaokulisha theories ambazo wao wenye haajawahi zitumia. Chaguo ni lako wengine wanasema kazi kwako.
Asanteni
Kabla sijaanza kufanya biashara zangu miaka kadhaa iliyopita nilihudhuria semina kadhaa za ujasiriamali zitolewazo hapa nchini. Gharama ya mafunzo yale ilikuwa sh. 255,000 kwa siku kadhaa. Nilipotoka pale nilijaribu kutumia mafunzo yale kuyaweka katika biashara yangu ila biashara ile ikafa. Baada ya biashara ile kufa, Mungu alisaidia nikapata nafasi ya kwenda kusoma katika chuo kikuu nchini Finland kiitwacho Rovaniemi UAS (sasa Lapland UAS). Kule nilipata mafunzo kinyume kabisa na jinsi nilivyofundishwa na wale walimu waliojiita walimu bora wa ujasiriamali Tanzania.
Nikagundua kuwa wakinamama na vijana wengi nchini wanaibiwa hela zao na watoa mafunzo mbalimbali ya ujasiriamali nchini wanaotoa mafunzo yasiyosaidia kabisa kufanya biashara za wajasiriamali nchini kukua, maana kama zingekuwa zinasaidia basi leo hii tungeona mabadiliko makubwa sana katika hali za maisha za wajasiriamali wetu nchini.
Nchini Finland tulifundishwa jinsi wafanyaiashara wakubwa wanavyofanya biashara tofauti kabisa na wajasiriamali wadogo. Na hii imewasaidia biashara zao walizozianzisha zikiwa ndogo, kuwa kubwa ndani ya muda mfupi na kupata faida kubwa. Nimeamua kuwasaidia wajasiria mali wadogo nchini nao wafahamu ujuzi huu kwani baada ya kurudi nchini na kuanzisha biashara yangu ya kutengeneza mkaa wa kisasa na kutumia ujuzi ule, nimeona mabadiliko makubwa ndani ya muda mfupi. Nawe waweza fanya vivyo hivyo kwa kupata ebook (softcopy) ninayoiuza kwa sh. 15,000/- tu.
Kitakufundisha kuacha kuwa mjasiriamali na kuwa mfanyabiashara kamili mwenye kuingiza faida na si kipato cha kula chakula kwa siku. Pia kitakuonyesha ni jinsi gani umekuwa ukidanganywa na kuliwa pesa zako bure miaka nenda rudi na biashara yako hailui. Kwa anayekihitaji tafadhali usisite kuni sms, PM au kunipigia 0758 308193.
Biashara sio ngumu kama unavyodhani wala si complicated kama wao wanavyotaka ufahamu. Siri wanayotumia ni kufanya biashara ionekane ngumu ili uone huwezi kufanya ili uendelee kufikiri unahitaji elimu zaidi na kuendelea kuhudhuria mafunzo yao na wao waendelee kukuibia. Biashara inahitaji vitu 4 tu ambavyo ni rahisi kufanya na hivi ndivyo wafanyabiashara wakubwa huvitumi na wajasiriamali wadogo hawavitumii. Walimu hawa wanakutisha kwamba changamoto za biashara ni ngumu na wewe huwezi pambana nazo eti mpaka upate mafunzo yao hayo expensive, wakati ni njia nne tu unatakiwa uzitumie na hizi challenges huwezi kumbana nazo. So chukua nafasi hii kujifunza real business na si watu hawa wanaokulisha theories ambazo wao wenye haajawahi zitumia. Chaguo ni lako wengine wanasema kazi kwako.
Asanteni