Mkuu una akili Sana Hilo Swali nimelipenda Mimi ni mmoja wapo kipindi naywa hizo soda nilikuwa nachangamka Sana yaani najisikia bien kwa Sana kuna mtu akaniambia hizo soda zinalevya ukinywa Zaidi ya nne...kwa mtu asiyekuwa anatumia vilevi kama uamini You Can try then ulete majibu.acheni ku-overreact, kuna mtu aliyewahi kulewa baada ya kunywa Coca?!!
sipendelei ladha ya coca, i prefer fanta/7up lakini ntajaribu for lolz. bado siko convinced kwamba ukinywa chupa XX za coca utaanza kuyumba njiani na kutukana kama mlevi aliyekunywa bia kadhaa. pia sijawahi kusikia/kuona zamzam colaMkuu una akili Sana Hilo Swali nimelipenda Mimi ni mmoja wapo kipindi naywa hizo soda nilikuwa nachangamka Sana yaani najisikia bien kwa Sana kuna mtu akaniambia hizo soda zinalevya ukinywa Zaidi ya nne...kwa mtu asiyekuwa anatumia vilevi kama uamini You Can try then ulete majibu.
Je Ushawahi Kunywa Zamzam Cola?
More on TIME.com:
The recipe:
Fluid extract of Coca: 3 drams
USP
Citric acid: 3 oz
Caffeine: 1 oz
Sugar: 30 (unclear quantity)
Water: 2.5 gal
Lime juice: 2 pints, 1 quart
Vanilla: 1 oz
Caramel: 1.5 oz or more for
color
The secret 7X flavor (use 2 oz
of flavor to 5 gals syrup):
Alcohol: 8 oz
Orange oil: 20 drops
Lemon oil: 30 drops
Nutmeg oil: 10 drops
Coriander: 5 drops
Neroli: 10 drops
Cinnamon: 10 drops...
aahaa ngoja nifanye mpango wa kuzisaka hizi ingradients ili nifungue ka kiwanda kangu hapa mtaani sasa
Hii Ze Comedy Watakuita Kilaza Copy and Paste... kama walivyomuita Top in Dar na ule wimbo wake aliouba... au Dully Sykes bbbbbbibberonMore on TIME.com:
The recipe:
Fluid extract of Coca: 3 drams
USP
Citric acid: 3 oz
Caffeine: 1 oz
Sugar: 30 (unclear quantity)
Water: 2.5 gal
Lime juice: 2 pints, 1 quart
Vanilla: 1 oz
Caramel: 1.5 oz or more for
color
The secret 7X flavor (use 2 oz
of flavor to 5 gals syrup):
Alcohol: 8 oz
Orange oil: 20 drops
Lemon oil: 30 drops
Nutmeg oil: 10 drops
Coriander: 5 drops
Neroli: 10 drops
Cinnamon: 10 drops...
aahaa ngoja nifanye mpango wa kuzisaka hizi ingradients ili nifungue ka kiwanda kangu hapa mtaani sasa
Mountain Dew nayo Pia Ina Caffeine kwa wale wasiopenda Caffeine ni Bora Waache kwani Ukikwepa Caffeine kwenye Cola basi utakutana nayo kwenye Mountain DewMi nikinywa coca mtoto aliye tumboni anacheza sana,nikinywa M/dew simsikii kabisa na per day lazima ninywe coc3,ndo nakua saaaafii kabisa!