FisadiKuu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 8,108
- 13,346
Mbona huyu mwenzako anafanya Forever Living na anamiliki hili lindinga teh teh tehKwani kabla mange hajasema ulikuwa hujui?we mtu anakuambia leta milioni 4halafu unavuna milioni mia kadhaa unakubali kutoa hela hujiulizi yeye atakuwa anafanya nini chenye faida kubwa hivyo?mi forever na GNLD walinifanya walinila 2m wakwende hukoo nilishtuka mapema nikakaa pembeni.wote niliowaacha wamepauka kama vipande vya mihogo khaa.hamna cha utajiri wala.nini.