yomboo
JF-Expert Member
- May 9, 2015
- 6,226
- 4,894
Ukiza waliounguza akaunti watakuambia
Kuunguza account means walikuwa wanafanya gambling! So hiyo ni hasara
But if you do it right you will succeed dear
Ukiza waliounguza akaunti watakuambia
Inshort inakuwa wewe ndio fursa mkuu.... Kama una muda unaitikia tu wito lakni kwenye suala zima la pesa hakuna pesa ya mchezo mchezoMange keshasema ukiitwa sehemu utoe kiingilio kimbiaaaaa
Asante jomoni dearKuunguza account means walikuwa wanafanya gambling! So hiyo ni hasara
But if you do it right you will succeed dear
mmmmh forex is world biggest business with 3.5trillion us per day......ni kitu kama ww ni msomi naunaijua dunia hasa kuhusu currency exchange utakua unauelewa mpana inaonesha hujawahi hata safari nchi ya jiran ukabadili fedha ww. .ile kubadili fedha ndo maana ya forex labda tukisema hivo utaelewaa. ....ila mange kamaanisha kuna makumpuni au broker's wanaofanya janja kupitaa kununua na kuzaa fedha kwa njia ya mtandaoWhatever it might be.. The main point inabaki kuwa ni utapel tu
Kabisaa kimbiaaInshort inakuwa wewe ndio fursa mkuu.... Kama una muda unaitikia tu wito lakni kwenye suala zima la pesa hakuna pesa ya mchezo mchezo
Hawawezi kuniibia mkuu wataibia watu wa vijijini huko...Kabisaa kimbiaa
Kwani kabla mange hajasema ulikuwa hujui?we mtu anakuambia leta milioni 4halafu unavuna milioni mia kadhaa unakubali kutoa hela hujiulizi yeye atakuwa anafanya nini chenye faida kubwa hivyo?mi forever na GNLD walinifanya walinila 2m wakwende hukoo nilishtuka mapema nikakaa pembeni.wote niliowaacha wamepauka kama vipande vya mihogo khaa.hamna cha utajiri wala.nini.View attachment 696264 kaorodhesha hapo kama upo instagram nadhan utakuwa umeona makampuni aliyotaja na forex ikiwemo
Asante jomoni dear
hahahaaaa usilolijua ni usiku wa kizaaForex na Bitcoin tumezipinga sana humu na tumempinga sana Ontario asiendelee kutapeli Watu.
Hahahahaah pole sanaKwani kabla mange hajasema ulikuwa hujui?we mtu anakuambia leta milioni 4halafu unavuna milioni mia kadhaa unakubali kutoa hela hujiulizi yeye atakuwa anafanya nini chenye faida kubwa hivyo?mi forever na GNLD walinifanya walinila 2m wakwende hukoo nilishtuka mapema nikakaa pembeni.wote niliowaacha wamepauka kama vipande vya mihogo khaa.hamna cha utajiri wala.nini.
Sawa dear kuhusu hata forex sijichoshi dearGo and visit forex.com
Also bila kuwa na elimu sahihi huwezi kufanya trades
Forex is not for all people ,
Ukisema forever living, q net, vortex etc hayo ni ma pyramidal schemes dear
mufanye alliance nyingine!Halafu members wanajipa moyo kuwa ipo siku watatoboa... Naona yale mapicha mapicha ya kwamba watu wanapata trip sijui za kwenda ufilipino kwa kina Yuri na lady butterfly zinawachachasha akili kwelikweli.....
Siku akinitafuta nitamwambia tu kwa upole mimi nimempenda yeye kama yeye kama yupo tayari kutoa gegedo tunaweza onana ila kama ni mambo ya alliance naomba afute namba yangu maana sitokuwa na muda wa kupokea simu wala kujibu text....
Ndio kupitia alliance mimi nitaomba gegedo na atapata malipo yake bila tatizo kabisamufanye alliance nyingine!
Kaah!u crazyNdio kupitia alliance mimi nitaomba gegedo na atapata malipo yake bila tatizo kabisa
nini kinachokufanya uwaze sijaanza?Si uanze nawe kusema kwani umezuiwa?
Sasa hayo unatakiwa uongee nae ana kwa ana ili asiende mbali na ulivyp li hb hawezi pinduaNdio kupitia alliance mimi nitaomba gegedo na atapata malipo yake bila tatizo kabisa
Sema watu wengi wamelizwa ila watapiga kimya na ukiona wanaong'ang'ania ni kuwa wameshatoa hela hawataki kusikia ukweli.Hahahahaah pole sana
Mbona hatukujui,lakin mange mpaka kwenye vyombo vya habari kajaanini kinachokufanya uwaze sijaanza?