Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,621
- 27,567
Niwaache mforexiane au?Hahaha mama Sab tuache bwana
Niwaache mforexiane au?Hahaha mama Sab tuache bwana
Hili ndio jibu.Baadhi ya ,
kama mnaotumia broker mmoja mnalazimishwa huo ni utapeli
Ni mnyaturu. Ni yeye huyo huyo kaanza forever kitambooooHuyu binti ni muiraq,mama yake alikuwa mwalimu ,au namfananisha kapendeza kweli
Hapana ila Najua Tabia zakeVP na ww ni muhanga.
Waulize Labda ashawapeleka hata mmoja, bye Naingia kazini nilikua breakNdio ushababi huo.. Kwanini wewe usiwasaidie wenzako kumkataa, au ndio mnatamani sana USA Baby
NdioooNiwaache mforexiane au?
Mnasemaga basi!!!!!Hapana ila Najua Tabia zake
Yes ni wanyaturu nilikuwa nimesahau,,nimesoma nae shule ya msingi yeye alikua madarasa ya mbeleNi mnyaturu. Ni yeye huyo huyo kaanza forever kitamboooo
Hivi Team b yupo wapi aje akujibu,unanichoshaHili ndio jibu.
Unajua maana ya broker lakini? maana usijekuta unaendelea kuandika mambo usiyoyajua!!!
Mnaniharibia uzi mtu nipo sirias kukomboa taifa nendeni chit chat nyau nyieKwahiyo ana stress za maisha au nini tatizo? Au karogwa hehe
Waziri kaona atoe tamko chezea mange weweYaani mange kasema waziri kingwangwala mpaka akaikana kampuni aliyozindua
Yaaani kwa miaka yote Mange hapo kaongea pointView attachment 696264 kaorodhesha hapo kama upo instagram nadhan utakuwa umeona makampuni aliyotaja na forex ikiwemo ,ukiona mtu anajitangaza sana na kukuita kwenye fursa jua fursa ni mwenyewe unaeitwa,ukiona unaitwa sehemu kuna fursa halaf kuna kiingilio unatakiwa ulipe kimbiiiiiaaaaaa kwanini kama kuna utajiri wasitajirishe ukoo wao kwanza (maneno kuntu haya)
Sawa sina tatizoNdiooo
Ni basha wa mamayakoWho is mange?
Point anaongea nyingi tuYaaani kwa miaka yote Mange hapo kaongea point
Team b ni nini? na hao TMT ni akina nani?Hivi Team b yupo wapi aje akujibu,unanichosha
Mange kakaribia kuwalipua TMT ahah labda awasamehe
Akili za kushikiwa na huyo Mange,pole sana!View attachment 696264 kaorodhesha hapo kama upo instagram nadhan utakuwa umeona makampuni aliyotaja na forex ikiwemo ,ukiona mtu anajitangaza sana na kukuita kwenye fursa jua fursa ni mwenyewe unaeitwa,ukiona unaitwa sehemu kuna fursa halaf kuna kiingilio unatakiwa ulipe kimbiiiiiaaaaaa kwanini kama kuna utajiri wasitajirishe ukoo wao kwanza (maneno kuntu haya)
kweli kabisa kuliko wasukuma hawa wa kutu ya koroshoMange anatosha 2020.
Urais 2020.