Mutambukamalogo
JF-Expert Member
- Jan 25, 2011
- 397
- 85
DAH! BABU KAWAGAWA WANA jf MODS WEKENI POLLS! TEHETEHETEHE:lol:
Nilichogundua mimi hata wale wachungaji wakuu pale Dar waliokimbiwa na waumini, tunao humu wanaandika nao! Duh!
DAH! BABU KAWAGAWA WANA jf MODS WEKENI POLLS! TEHETEHETEHE:lol:
Kiburi cha uzima!
Collins was like you but he eventually believed in God.
I am a scientist and a believer, and I find no conflict between those world views.
As the director of the Human Genome Project, I have led a consortium of scientists to read out the 3.1 billion letters of the human genome, our own DNA instruction book. As a believer, I see DNA, the information molecule of all living things, as God's language, and the elegance and complexity of our own bodies and the rest of nature as a reflection of God's plan.
I did not always embrace these perspectives. As a graduate student in physical chemistry in the 1970s, I was an atheist, finding no reason to postulate the existence of any truths outside of mathematics, physics and chemistry. But then I went to medical school, and encountered life and death issues at the bedsides of my patients. Challenged by one of those patients, who asked "What do you believe, doctor?", I began searching for answers.
I had to admit that the science I loved so much was powerless to answer questions such as "What is the meaning of life?" "Why am I here?" "Why does mathematics work, anyway?" "If the universe had a beginning, who created it?" "Why are the physical constants in the universe so finely tuned to allow the possibility of complex life forms?" "Why do humans have a moral sense?" "What happens after we die?"
I had always assumed that faith was based on purely emotional and irrational arguments, and was astounded to discover, initially in the writings of the Oxford scholar C.S. Lewis and subsequently from many other sources, that one could build a very strong case for the plausibility of the existence of God on purely rational grounds. My earlier atheist's assertion that "I know there is no God" emerged as the least defensible. As the British writer G.K. Chesterton famously remarked, "Atheism is the most daring of all dogmas, for it is the assertion of a universal negative."
But reason alone cannot prove the existence of God. Faith is reason plus revelation, and the revelation part requires one to think with the spirit as well as with the mind. You have to hear the music, not just read the notes on the page. Ultimately, a leap of faith is required.
Mediaman
Join Date : 20th March 2011
Posts : 4
Thanks 0
Thanked 1 Time in 1
PostRep Power : 0
Nadhani umejiunga ili umshambulie babu, shetani anaponya watu ili iwaje waendelee kumuasi au wamtukuze Mungu? Kila dakika iendayo kwa Mungu shetani anaombea watu wafe halafu leo awaponye ili wakemee mapepo tena mkuu, waangamize silaha zake?!
Halafu acha kumtukuza Ibilisi wewe? Mbona makanisani watu wameombewa mpaka lakini bado hali ni ile ile, na kama ni roho ya shetani fungeni mkemee ili Mungu amuumbue mtumishi feki vinginevyo wewe ndiyo utakuwa mtumshi feki unasumbuliwa na wivu wa kihuduma!
Nyie wenyewe kila kukicha kunyoosheana vidole mara fulani ni mtume feki mara anatumia nguvu fulani yaani ili watu wachanganyikiwe.
Duuuuh kweli njia iendayo uzimani ni nyembamba sana.
Utajua Mungu yupo siku utakapopiga goti mbele za Yesu ukingojea hukumu. KILA GOTI LITAPIGWA KWA YESU. Kama hujui waulize wamiliki wa mabasi ya Dar Express!!
Kiburi cha uzima!
Collins was like you but he eventually believed in God.
I am a scientist and a believer, and I find no conflict between those world views.
As the director of the Human Genome Project, I have led a consortium of scientists to read out the 3.1 billion letters of the human genome, our own DNA instruction book. As a believer, I see DNA, the information molecule of all living things, as God's language, and the elegance and complexity of our own bodies and the rest of nature as a reflection of God's plan.
I did not always embrace these perspectives. As a graduate student in physical chemistry in the 1970s, I was an atheist, finding no reason to postulate the existence of any truths outside of mathematics, physics and chemistry. But then I went to medical school, and encountered life and death issues at the bedsides of my patients. Challenged by one of those patients, who asked "What do you believe, doctor?", I began searching for answers.
I had to admit that the science I loved so much was powerless to answer questions such as "What is the meaning of life?" "Why am I here?" "Why does mathematics work, anyway?" "If the universe had a beginning, who created it?" "Why are the physical constants in the universe so finely tuned to allow the possibility of complex life forms?" "Why do humans have a moral sense?" "What happens after we die?"
I had always assumed that faith was based on purely emotional and irrational arguments, and was astounded to discover, initially in the writings of the Oxford scholar C.S. Lewis and subsequently from many other sources, that one could build a very strong case for the plausibility of the existence of God on purely rational grounds. My earlier atheist's assertion that "I know there is no God" emerged as the least defensible. As the British writer G.K. Chesterton famously remarked, "Atheism is the most daring of all dogmas, for it is the assertion of a universal negative."
But reason alone cannot prove the existence of God. Faith is reason plus revelation, and the revelation part requires one to think with the spirit as well as with the mind. You have to hear the music, not just read the notes on the page. Ultimately, a leap of faith is required.
Mkuu Mediaman,hii issue ya Babu wa Loliondo naona unai-oversale!Sina uhakika na ufunuo ulionao kuhusiana na kinachoendelea huko Loliondo,hata hivyo napenda kutoa angalizo kidogo;biblia inasema hivi"Maana ingawa tunaenenda katika mwili,hatufanyi VITA kwa jinsi ya mwili,maana silaha za vita vyetu si za mwili,bali zina uwezo katika Mungu hata kuangusha ngome,tukiangusha mawazo na kila kitu kilichoinuka,kijiinuacho juu ya elimu ya Mungu;na tukiteka nyara kila fikra kila fikra ipate kumtii KRISTO" (2Korintho 10:4-5)
See,how privilegded we are as Christians,being commissioned with this strong amour in God the Almighty!!
Nachelea kama wewe ni mkristo(believer),usije ukawa unapigana vita "in a wrong battlefield"
....Just my opinions & blessings!
BABU MGANGA WA JADI KABISA TENA NI KIBARAKA WA SHETANI.Sio kweli kwamba Babu wa Loliondo ametumwa na Mungu kutumia dawa hiyo kuwaponya watu. Huyo Babu ametumwa na "mungu wa dunia hii(shetani) ili kuwadanganya watu waache kumtumaini na kumwamini Mungu wa kweli ili hatimaye waangamie siku ile ya mwisho. Soma 2 Wakorintho 4:4 na kisha tafakari kwa makini hoja zifuatazo utathibitisha ukweli huo.
Kwanza: Mungu kwa njia ya Yesu Kristo anaponya magonjwa yote na udhaifu wa kila aina. Watanzania hawasumbuliwi na magonjwa hayo manne tu. Wengine wana mafua yasiyopona, wengine wana majipu ya muda mrefu. Wengine wana magonjwa mabaya ya ngozi nk. Ingekuwa ni Mungu amemtuma, angemwambia aponye magonjwa yote. Yesu alipokuwa hapa duniani aliponya maradhi yote.
Pili: kitendo cha kusema kwamba ni yeye tu Babu mwenye uwezo wa kufanya dawa hiyo iponye magonjwa sio cha kibiblia. Biblia inasema "na ishara hizi(uponyaji ukiwemo) zitafuatana na kila aaminiye..."
Tatu: Yesu alisema "Mtaweka mikono yenu juu ya wagonjwa nao watapata afya" Sio mtawapa kikombe na kuwaombea.
Nne: Kitendo cha kuuza dawa hiyo sio cha kibiblia. Maadam anasema amepewa uwezo huo na Mungu basi hapaswi kuuza uponyaji huo hata kwa shilingi moja. Na kama lengo ni kupata pesa hizo ili kuwapa wasaidizi wake kwanini iwe sh. 500 tu? Shilingi 500 zinafaa nini katika hali ngumu ya maisha waliyo nayo Watanzania leo?
Tano: Mungu anapowaponya watu anawaambia pia waache dhambi. Yesu alimwambia yule aliyemponya "Usitende dhambi tena lisije likakupata lililo baya zaidi kuliko hilo" Huyu Babu anawapa watu dawa tu bila kuwaambia waache ufisadi, rushwa, ujambazi...wakipona si ndio wataendelea kufanya madhambi hayo kwa nguvu zaidi? Mungu hawaponyi watu ili waendelee kufanya dhambi.
Sita: Kama hiyo dawa inaponyesha kwa imani, kwanini anaichemsha kwanza? Imani ni bayana ya mambo yasiyoonekana.
Saba: Babu anadai kwamba dawa hiyo inaponyesha kwa imani. Mbona basi watu wanapotaka kujichukulia dawa hiyo anawaambia kwamba hawatapona? Yule mama (katika Biblia) aliyekuwa anatokwa damu aligusa upindo wa vazi la Yesu akapona kwa imani. Lakini huyu Babu hataki mtu ajichukulie kikombe mwenyewe hata kama anayo imani.
Nane: Watu wanapotaka kumpa huyu Babu sadaka(magari, nyumba), kwanini anakataa? Wana wa Lawi (katika Biblia) waliambiwa watakula madhabahuni. Sadaka zilipotolewa hawakukataa.
Tisa: Mungu akiponya, uponyaji wake hauwi nusu nusu. Kitabu cha Agano Jipya kinaeleza wazi jinsi watu walivyoponywa kwa ukamilifu magonjwa yao. Kwanini basi katika hao walioenda kwa Babu baadhi yao wanasema kwamba wanajisikia nafuu badala ya kusema wamepona kabisa?
Kumi: Mtumishi wa Mungu ni mtiifu. Mungu anapomwambia jambo anatii. Huyu kama Mungu alimwambia atumie dawa hiyo tangu mwaka 1991 kwanini amempinga Mungu kwa miaka 20? Ni watu wangapi wamekufa kwa magonjwa muda huo wote. Kwanini amekuwa mbishi muda huo wote? Ana huruma kweli na wagonjwa? Mungu hapendezwi na watu wasiomtii.Yona katika Biblia alipoambiwa aende Ninawi alikataa. Kilichompata ni kumezwa na Nyangumi.Kwa msingi huo siamini kwamba Mungu ndiye aliyemwambia atumie dawa hiyo. Vinginevyo Mungu asingemvumilia kwa miaka hiyo yote huku Watanzania wanaendelea kuangamia kwa magonjwa.
Mwisho, najiuliza: Yesu alipokuwa hapa duniani mbona hakuponya watu kwa kuwapa magamba ya miti, majani ya miti nk. Alisema neno tu na magonjwa yakatoweka. Ina maana mti huo utakapokwisha Loliondo na uponyaji ndio utaishia hapo?
Nikiangalia pia Maandiko Matakatifu naona kuwa walikuwepo watu waliosema Mungu amewatuma kufanya hivi au vile na kumbe ni uongo. Biblia pia inasema juu ya "mungu"(wa herufi ndogo)wa dunia hii. Naye anatenda ishara na miujiza. Wakati wa Musa, kule Misri, Musa, Mtumishi wa Mungu, alifanya ishara na miujiza mikubwa na waganga na wachawi wa Misri wakati huo nao wakafanya ishara kama hizo. Na hata waganga wa kienyeji nao pia husema kwamba wanaponya kwa uwezo wa mungu.
Maandiko Matakatifu yanatueleza pia kwamba nyakati za mwisho(naamini hizi ni nyakati za mwisho maana ishara alizozitaja Yesu zimetimia) watatokea manabii wengi wa uongo na kuwadanganya wengi.
Jamani Watanzania "Ingieni kwa kupitia mlango ulio mwembamba; maana mlango ni mpana na njia ni pana iendayo upotevuni, nao ni wengi waingiao kwa mlango huo"
Siri imefichuka! Hoja hizo na maandiko hayo ya Biblia yanathibitisha wazi kwamba huyo Babu hajatumwa na Mungu. Ila ni shetani anamtumia kuwadanganya watu. Tusikubali kudanganywa. Hata waganga na wachawi wa leo na wao huwaambia wateja wao kwamba wanaponya au kufanya miujiza kwa uweza wa mungu. I dare to talk openly Huyo mungu wanayemtaja ni mungu wa dunia hii (shetani). Mwenye masikio na asikie.
much respect mr uko juu waambie watupe vithibitisho kuwa babu katumwa na shetaniukienda pale unakunywa dawa ya mti unaoujua na si vinginevyo na wala hakuwekei mikono yake kichwani kukupandikizia mapepo kama wachungaji washirikina wafanyavyo.