Maishamapya
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 1,279
- 375
Sababu zote ulizotoa zinaonyesha huelewi huduma anayoifanya Mchungaji Masapila na pili unavyotumia Maandiko Matakatifu unaonyesha ufahamu mdogo sana. Nakushauri kabla hujasema ama kuandika jambo utafakari[/QUOTE]
Ndugu, kama ufahamu wako ni mkubwa sana kuliko wangu, uonyeshe wazi huo ufahamu wako kwa kutoa hoja zako hapa, uwasaidie wengine. Hujasikia idadi ya watu waliokufa wakiwa njiani kwenda kwa babu, wakiwa kwa babu, na waliokufa baada ya kutoka kwa babu? Unasubiri watu waendelee kufa ndio uwasaidie? It will be too late. Faida unayopata kwa kujiunga na JF ni nini sasa kama hutoi hoja wala kujibu hoja kwa ufahamu wako mkubwa? Mimi ntaendelea kusema. Sioni ajabu ukipinga. Yesu alipokuwa hapa duniani aliwaambia watu ukweli. Wakampinga, wengine wakataka kumpiga kwa mawe, hatimaye wakamuua. Lakini ukweli wake bado unaendelea kutangazwa hata leo.[/QUOTE]
Sikuelewi! Unamaanisha wakati wa Yesu hakuna waliokufa? Vipi yule mtoto wa askari ambaye ilibidi afufuliwe? Ina maana watu huwa hawafi makanisani mwetu wakiletwa kuombewa? Ina maana hao wagonjwa wasingekufa wakiwa hospitali? Babu alishasema kwa hekima kabisa kuwa wagonjwa wasitolewe hospitali bila ushauri wa daktari. Sasa kama watu wanatoroka hospitali kama tulivyosoma kwenye magazeti bado tumsingizie babu? Sikuelewi!
Ndugu, kama ufahamu wako ni mkubwa sana kuliko wangu, uonyeshe wazi huo ufahamu wako kwa kutoa hoja zako hapa, uwasaidie wengine. Hujasikia idadi ya watu waliokufa wakiwa njiani kwenda kwa babu, wakiwa kwa babu, na waliokufa baada ya kutoka kwa babu? Unasubiri watu waendelee kufa ndio uwasaidie? It will be too late. Faida unayopata kwa kujiunga na JF ni nini sasa kama hutoi hoja wala kujibu hoja kwa ufahamu wako mkubwa? Mimi ntaendelea kusema. Sioni ajabu ukipinga. Yesu alipokuwa hapa duniani aliwaambia watu ukweli. Wakampinga, wengine wakataka kumpiga kwa mawe, hatimaye wakamuua. Lakini ukweli wake bado unaendelea kutangazwa hata leo.[/QUOTE]
Sikuelewi! Unamaanisha wakati wa Yesu hakuna waliokufa? Vipi yule mtoto wa askari ambaye ilibidi afufuliwe? Ina maana watu huwa hawafi makanisani mwetu wakiletwa kuombewa? Ina maana hao wagonjwa wasingekufa wakiwa hospitali? Babu alishasema kwa hekima kabisa kuwa wagonjwa wasitolewe hospitali bila ushauri wa daktari. Sasa kama watu wanatoroka hospitali kama tulivyosoma kwenye magazeti bado tumsingizie babu? Sikuelewi!