Siri iliyopo kwenye Vikalio vya mwanaume

Siri iliyopo kwenye Vikalio vya mwanaume

JF raha sana
Nipo home peke yangu watoto wameenda likizo
Sijihisi mpweke
 
Daahh..

Kwahiyo wanaume wenye makalio makubwa zoezi gani ni sahihi.

Good thread.
 
Mhhh....watu wana vituko...sijajua mtoa mada kawaza nini hadi kuja na uzi
 
Daah! 😁Mkuu, nimeiona hii maada usiku huu,huku nikiwa ndio naingia kupumzika,Sasa ilibidi nijaribu kupima kwa kiganja ukubwa wa la kwangu,nikagundua ni kiganja kimoja tu kinaenea.So nikafaham kuwa kumbe ndio maana kazi yangu huwa pevu.
 
Kifupi mimi hata wife wangu tukiwa mchezoni kuna Amri zake kuu kumi nilizompa. Moja wapo ni hiyo, Inasema: Hairuhusiwi kufikisha mkono wako kwenye makalio yangu kwa namna yoyote ile. Hata kama umelala na ukauweka kwa bahati mbaya kabisa adhabu ndogo kabisa ni kuung'ata hadi ashindwe kufanya kazi zake.
safi kabisa
 
Daah! 😁Mkuu, nimeiona hii maada usiku huu,huku nikiwa ndio naingia kupumzika,Sasa ilibidi nijaribu kupima kwa kiganja ukubwa wa la kwangu,nikagundua ni kiganja kimoja tu kinaenea.So nikafaham kuwa kumbe ndio maana kazi yangu huwa pevu.
hakikisha halikui zaidi ya hapo
 
mpoki anakwambia,kidole cha siku moja akikufanyi kuwa shoga...
 
hiyo sayansi ya mafuta kuyeyuka tumboni na kuhamia kwenye makalio mkuu.....ni zaidi ya utaalamu wa NASA...yani imevuka mipaka ya kiulimwengu kabisa.....
 
Back
Top Bottom