BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,163
wakati wote ni wakati wa chai
ni rahisi kuona udhaifu kwa wengine na sio ulionao mwenyewe. you have no other option. hapo haujareverse kweli?Wanawake viumbe wa ajabu sana! Binadam sote dhaifu ila wenzetu wamezidi, nikifikiria AKILI YA MWANAMKE ilivyo, wazo la kuoa linanikimbia kabisaaaa..! Katika kila mwanamke mwenye mafanikio, nyuma yake kuna MWANAMUME
Wanawake viumbe wa ajabu sana! Binadam sote dhaifu ila wenzetu wamezidi, nikifikiria AKILI YA MWANAMKE ilivyo, wazo la kuoa linanikimbia kabisaaaa..! Katika kila mwanamke mwenye mafanikio, nyuma yake kuna MWANAMUME
au nitakuoa.huo ni uongo wa kizamani.
:smash:Wanawake wanapenda mwanaume mwenye mwanamke tayari.
hao not yet women no longer girls wenu mnaokutana nao na wenyewe mnawaita wanawake kiasi cha kutukana wanawake wote humu mpaka mama zenu?Wanawake viumbe wa ajabu sana! Binadam sote dhaifu ila wenzetu wamezidi, nikifikiria AKILI YA MWANAMKE ilivyo, wazo la kuoa linanikimbia kabisaaaa..! Katika kila mwanamke mwenye mafanikio, nyuma yake kuna MWANAMUME
sema wewe kiazi!huwa nachukia sana ninapojumuishwa na watu wengine, lol!
Zifuatazo ni baadhi ya tabia ambazo wanawake wasingependa wanaume wajue:
1.Anataka kuambiwa yeye ndiye mzuri tu ktk dunia nzima.Usimsifie mwenzake mbele yake
2.Jicho lake la kwanza anapokutana na mwanaume ni kuangalia mwanaume amevaa nini miguuni.
3.Wanasema wasichokimaanisha
4.Anapofanya jambo lisilo la kawaida mf.kuvaa vibaya,kubadili rangi ya mwili n.k Anataka kuvuta attention ya mwanaume.
5.Wanajua wanapodanganywa,,kimaumbile wana hisia ambazo huwatarifu kuwa mwanaume aliyembele yake ni mwongo au mkweli.
CHANGIA NA WEWE ULIZOZIONA ntarudi kuleta tabia za wanaume ambazo wasingependa wanawake wajue !!
huwa nachukia sana ninapojumuishwa na watu wengine, lol!