Siri ambazo hutakaa umwambie mkeo-part 1

Siri ambazo hutakaa umwambie mkeo-part 1

mchepuko

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2014
Posts
1,192
Reaction score
1,418
Hii thread ni maalum kwa wanandoa wanaume kutoa hapa siri ambazo hawatakaa wawaeleze wandani wao hadi wanakufa.
Ni siri gani ambayo hutakaa umweleze mkeo?.
 
Kuna mambo ya ndani ya familia yangu hatakaa ayajue.
 
Ni vigumu kumwambia endapo jicho liliwahi kuliwa baada ya kuiba mke wa mtuuuu
 
Sitakuja kumuambia kuwa nina michepuko mitatu ambayo huwa nachat nayo nikiwa kazini tu na huwa naigegeda nikiwa safari za kikazi tu.....na nikiwa home nai'block hiyo michepuko ili ikipiga simu isinipate!
 
Sitawahi kumweleza kuwa HG wote waliopita home niliwagonga na nina mpango wa kugonga kila ajaye!
 
Sitakuja kumwambia niliwahi kulala usiku mmoja na wanawake watatu na kufanya nao ngono.
 
sitakuja kumwambie siku niliyo mdoji saa saba usiku na kwenda kwa mchepuko wangu
 
Back
Top Bottom