GE2025 SIRARI -Tarime wananchi waandamana Diwani ambaye amepotea baada ya kutangazwa ameshinda

GE2025 SIRARI -Tarime wananchi waandamana Diwani ambaye amepotea baada ya kutangazwa ameshinda

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

neno ni upanga

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2022
Posts
681
Reaction score
2,293
Muda huu risasi za moto zinarindima baada ya wananchi kuandamana na kufunga barabara kumtaka diwani ambaye inadaiwa ametekwa akiwa Tarime na hajulikani alipo! Hali ambayo imepelekea wananchi kuandamana kumtafuta

Inadaiwa huyo diwani alikuwa yupo upande mwita waitara, na mpinzani wake alikuwa yupo upande wa nyambari nyangwine hivyo inadaiwa katekwa na maadui zake!

kama CCM wanafanyiana hivyi wao kwa wao! Kwa wapinzani itakuaje?? Kwa sasa upinzani upo ndani ya ccm kwenyewe! Ushauri wangu! No reform no election ya heche haiepukikani
 
Tunasubiri Tanzania one achukue form sisi kina polepole tupite nae jumla jumla, afanye kama anajikuna itakuwa imeisha hiyo.
 
Ukizoea kula nyama ya mtu.
 
Back
Top Bottom