Richard chilongani
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 324
- 112
R. I. P Sir George
Wapi mkuu?R.I.P jirani yangu apa nyumbani
"Tena wakatoliki tulikuwa wawili mimi na sir George kahama ila mwenzangu kaendelea zaidi ana wake wawili "mwisho wa kunukuu mwalimu jk NyerereNyerere hayati alimpenda sana sana
mara kadhaa alimtaniaa....Nakumbuka ile hutoba ya kuruka ndege ya Mw.......ma weeee
Ukabila umebaki mahala fulani fulani na wala sio jambo la kujitapa kuna wakati niliwatuma nadhani ilikuwa Zaire miongoni mwao alikuwapo sir George kahama sasa ndege ikaanza kuyumba huku mara kule hali ikawa tete sir George mwanzo akasema "my GOD "ndege ikaendelea kuyumba akasema "mungu wangu "sasa ikazidi kuyumba akasema "maweeee "Nyerere hayati alimpenda sana sana
mara kadhaa alimtaniaa....Nakumbuka ile hutoba ya kuruka ndege ya Mw.......ma weeee