TANZIA Sir. George Kahama afariki dunia

TANZIA Sir. George Kahama afariki dunia

R.I.P.Mzee wangu baba yangu

Love u a lot we will be missing you
 
Kwa miaka mingi mzee Kahama alikuwa ndiye waziri wa baraza la kwanza la mawaziri ambaye alikuwa hai.

Mpaka anafariki alikuwa hapungui miaka 90. Mungu amempa umri mkubwa, na hekima na busara zake zimewasaidia wengi waliokuwa karibu nae.

Nitamkumbuka mzee huyu kwa ucheshi wake, ambao upo ndani ya damu ya familia yake. Ukiwa karibu yake au karibu ya mdogo wake ambaye alirudi Kagera miaka kadhaa iliyopita, ilikuwa vigumu kujihisi unyonge au ukiwa.

RIP Mzee Kahama. Historia itakutendea haki daima.
 
Kwa miaka mingi mzee Kahama alikuwa ndiye waziri wa baraza la kwanza la mawaziri ambaye alikuwa hai.

Mpaka anafariki alikuwa hapungui miaka 90. Mungu amempa umri mkubwa, na hekima na busara zake zimewasaidia wengi waliokuwa karibu nae.

Nitamkumbuka mzee huyu kwa ucheshi wake, ambao upo ndani ya damu ya familia yake. Ukiwa karibu yake au karibu ya mdogo wake ambaye alirudi Kagera miaka kadhaa iliyopita, ilikuwa vigumu kujihisi unyonge au ukiwa.

RIP Mzee Kahama. Historia itakutendea haki daima.
Yupo Lusinde naamini naye alikuwepo
 
Sina Maelezo sana ya kutosha, lkn niliwai sikia title ya sir kapewa na Nyerere na yeye Ndio mtz wa kwanza kupewa title hiyo ijapo hakuwa Mwalimu kama wengi wanavodhan kuwa title ya u-sir anapewa mwl pekee
Nikweli Nyerere hakumpa hiyo title ya Sir ila alikua anamtania kwa kumuita sir Kutokana na kiingereza kizuri alichokua akizungumza na namna yake ya uvaaji.

Ni kama Kikwete alivyokuwa akimtania Wassira Tyson ndivyo Nyerere alivyokua akimtania Kahama sir Kwa leo tungesema George Kahama a. k. a. Sir George Kahama.

Kwahiyo kiuhalisia Hiyo sir Katika taarifa rasmi haipaswi kutumika
 
Katafuna sana wilaya yangu ya Karagwe!

Enzi hizo za vyama vya ushirika Mzee wangu alikuwa anavuna mpaka gunia 300 za kahawa mpka anakufa miaka ya 90 alimudu kununua baiskeli ya phonex basi! CCM Mungu anawaona..
Nyie mlikuwa mnakaa mbali na mji ndio maana mliishia kununua phonex, mlitakiwa mhame Kituntu / Mabira
 
Kahama aliwahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani (1961-1962) kabla nafasi hiyo hajaichukua Oscar Kambona (1962-1963).

Aliwahi pia kuwa Mjumbe wa Bodi ya kwanza ya NBC mwaka

Kwa historia hiyo ni kwamba Mzee alikuwa na mchango kwenye kupigania uhuru na si sana kwenye utawala huru, manake alikuwa waziri wa mambo ya ndani 1961, 1962 wakam fire.

Na huo u sir aliokuwa anaitwa na Nyerere kumbe yalikuwa matani ya Mhaya na Mzanaki. His place in the annals of national history will be revised. RIP
 
mwanae kiiza kahama alikuwa anatangaza couds imiaka kama kumi imepita ndo alitunga wimbo wa machozi wa lady jay d,huyo kiiza alikufa kifo cha utata sana life style yake kama mashoga wa ulaya,alikuwa anajuj english zaidi ya kiswahili
 
Back
Top Bottom