......hivi mnajua kazi ya tendo la ndoa?...........
kasheshe , yaani ufikirie kuabort kwa mtu ambaye ni official mchumba wako,kazi kwelikweli hilo fundisho uwape wadogo zako we ushachelewa, lea mimba tu ila jiandaeni kwenye kutafuta shela
Sasa si uwahishe harusi iwe December ILI UILEE HIYO MIMBA NDANI YA NDOA!!!!!!!!!! Mambo mengine kama YA KICHAWI/ USHIRIKINA vileee!!!!!!!!!
kha!! wanawake hawa bana...sasa kwa kuwa umempa pete ya uchumba ndio anadaka mimba?
wee mbwage na mwambie hapa hamna tena ndoa maana mambi gani hayo ya kutegana...kwani ulimwambia wataka mtoto? make her pay kwa kumbwaga. wamezidi sana hawa wanawake kudaka mimba wakati njemba hajakwambia kuwa anataka mtoto
kha!! Wanawake hawa bana...sasa kwa kuwa umempa pete ya uchumba ndio anadaka mimba?
Wee mbwage na mwambie hapa hamna tena ndoa maana mambi gani hayo ya kutegana...kwani ulimwambia wataka mtoto? Make her pay kwa kumbwaga. Wamezidi sana hawa wanawake kudaka mimba wakati njemba hajakwambia kuwa anataka mtoto
kha!! wanawake hawa bana...sasa kwa kuwa umempa pete ya uchumba ndio anadaka mimba?
wee mbwage na mwambie hapa hamna tena ndoa maana mambi gani hayo ya kutegana...kwani ulimwambia wataka mtoto? make her pay kwa kumbwaga. wamezidi sana hawa wanawake kudaka mimba wakati njemba hajakwambia kuwa anataka mtoto
Habari zenu wakuu,
Leo naomba ushauri wenu.
Nina mchumba wangu ambaye nimeshamlipia mahari na tayari nimemvisha ya uchumba. Jana jioni aliniambia kuwa ni mjamzito na kuwa hiyo mimba ni yangu, kwa kuwa namwamini sina tatizo na hilo. Ila tatizo langu ni kuwa kwa sasa ssipo tayari kulea mimba hapo tutakapofunga ndoa. Tunategemea kufunga ndoa Feb 2013
Kwa kweli nipo njia panda na ninafikia hadi wakati namemwambia my fiancee kuwa aafanye abortion jaapo yeye anakataa.
Naombeni ushauri katika hili coz nimekosa raha kabisa. Na jambo la pili km nikifanya abortion je ni njia zipi salama za kufaanya jambo hili (japo naajua ni illega)
Naombeni ushauri wenu tafadhali
Kweli hayo mawazo yao utafikili wapo gamboshi aisee We eti uuwe maisha ya asiye na hatia kisa tuzae ndani ya ndoa,Ndoa inafungwa moyoni sio kwenye matarumbeta.KUNA NDOA NA HARUSI/SHEREHE