Umeathirika kisaikolojia mama. May be umri umekuacha.umetumika vibaya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiponipenda mimi utampenda nani wewe, hebu acha utani bhana!!!
Pole mdogo wangu. Acha kupenda wanaume wote bali mpende mumeo tu...
Sent using Jamii Forums mobile app
siwapendi kwa sababu ni masikini balaa hawana akili za kutafuta pesa....
Umejibu general sana kuna sehemu umerukaWanauz lkn hakuna namna inabd uwapende tu coz the end of the day utahtaj kuolewa na kua na family
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukikua utawatafuta na kuwapenda mwenyeweSipendi wanaume kwa sababu wanatesa wasichana[/wanawake mpk wanabaki wanajiburudisha na wimbo wa aslay-likizo'
Je ww msichana mwenzangu kwanini hupendi wanaume???
Unawapenda tuSipendi wanaume kwa sababu wanatesa wasichana[/wanawake mpk wanabaki wanajiburudisha na wimbo wa aslay-likizo'
Je ww msichana mwenzangu kwanini hupendi wanaume???