simply hapa unaonekana wazi kuwa unamtamani huyo shemeji yako.Huwa mara kadhaa tunatoka outing na Mr wangu na rafiki yake (shemeji), illa huyu shemeji anatabia ambayo hainipendezi na nimeshamwambia siipendi ila hakomi hata. Huwa tukikaa kwenye meza yeye ananikanyaga miguu kila wakati na jamaa akitoka kidogo analeta vidole vyake mpaka kwenye nanihiiiii. Naogopa kumsemea sasa nifanyeje?
Kama hii ndio sababu yenyewe basi mpe anachotaka kabisaNaogopa kuwagombanisha
Are u serious hupendi hii kitu, sasa kama hupendi hivyo vidole vya shemeji yako vinafikaje kwenye hiyo nanihii, kukaa kimya maana yake unamu - entertain, na kinachofuatia kinaweza kuwa kikubwa zaidi ya hivyo vidole
Huwa mara kadhaa tunatoka outing na Mr wangu na rafiki yake (shemeji), illa huyu shemeji anatabia ambayo hainipendezi na nimeshamwambia siipendi ila hakomi hata. Huwa tukikaa kwenye meza yeye ananikanyaga miguu kila wakati na jamaa akitoka kidogo analeta vidole vyake mpaka kwenye nanihiiiii. Naogopa kumsemea sasa nifanyeje?
Naogopa kuwagombanisha
kutongozwa na shemeji yako ni dharau ya hali ya juuNaogopa kuwagombanisha
Huwa mara kadhaa tunatoka outing na Mr wangu na rafiki yake (shemeji), illa huyu shemeji anatabia ambayo hainipendezi na nimeshamwambia siipendi ila hakomi hata. Huwa tukikaa kwenye meza yeye ananikanyaga miguu kila wakati na jamaa akitoka kidogo analeta vidole vyake mpaka kwenye nanihiiiii. Naogopa kumsemea sasa nifanyeje?
Naogopa kuwagombanisha
Jamani msinielewe vibaya, mi wala siyo type yangu kwanza
Na inakuwaje mpaka apate "courage" ya kukushika mpaka huko kwenye nanihii?
Huyo "shemeji" yako anakamchezo wanachofanya na huyo mwenzio. Haiwezekani awe hana uoiga wala kumuheshimu rafiki yake kiasi hicho. Na inahusu nini matembezi yako na mpenzi wako afatane na rafiki yake?
Kama unabisha chunguza, utakuta hao si marafiki wa kawaida, wanabanduana, ndio maana huyo "shemeji" hajali. Hata ukimwambia huyo "mpenzi" wako hatoweza kufanya lolote, wanajuana siri zao.
Na inakuwaje mpaka apate "courage" ya kukushika mpaka huko kwenye nanihii?
Huyo "shemeji" yako anakamchezo wanachofanya na huyo mwenzio. Haiwezekani awe hana uoiga wala kumuheshimu rafiki yake kiasi hicho. Na inahusu nini matembezi yako na mpenzi wako afatane na rafiki yake?
Kama unabisha chunguza, utakuta hao si marafiki wa kawaida, wanabanduana, ndio maana huyo "shemeji" hajali. Hata ukimwambia huyo "mpenzi" wako hatoweza kufanya lolote, wanajuana siri zao.
Haya sio mawazo ya Pearl,mimi naona uyachukulie kama ni maagizo rasmi ya wadau wa MMU, nenda kayatekeleze leo.Unavyozidi kumlegezea ndo na yeye anaona ume m mind,unakuwa ka hujui wanaume bana! kha! tena kesho urudishe ripoti hapa.Asante pili kwa mawazo yako,
Huwa mara kadhaa tunatoka outing na Mr wangu na rafiki yake (shemeji), illa huyu shemeji anatabia ambayo hainipendezi na nimeshamwambia siipendi ila hakomi hata. Huwa tukikaa kwenye meza yeye ananikanyaga miguu kila wakati na jamaa akitoka kidogo analeta vidole vyake mpaka kwenye nanihiiiii. Naogopa kumsemea sasa nifanyeje?