Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,809
- 15,438
Mmmmmmh
Ommmmmmmh
Aaaaah...Ndipo akataka kujilinganisha na mimi, ndipo akataka kunipanda kichwani, ndipo nilipomshusha thamani ……….
Wala simkatazi, sababu ni mie wake mumewe, ila asizidi akavuka mipaka
Wala simkatazi, sababu ni mie wake mumewe, ila asizidi akavuka mipaka x 2
Aaaaaah
Hakh, sipendi dharau,
oooooooooh
kwa nini unipande kichwani
Aaaaaah
Nasema sipendi dharau,
oooooooooh
kwa nini unipande kichwani
nina – pokupikia chakula siyo mjinga
Na nina – pokuwekea maji ya kuoga siyo mjinga vile vile
ila ni upendo wangu kwa sana, basi niheshimu usivuke mipaka,
juzi juzi ulikuja na ka-boy boy ukajishauwa sana, ukasema kamechoka tena kako hoi hoi…………Nimwekee maji ya kuoga
Vipi!
He, taulo langu nimpe, na hata msosi wangu pia ale………………
Hizo dharau dharau dharau……………… sipendi dharau!
Aaaaaaaah
Hakh, sipendi dharau…………….
Oooooooh
Kwanini unipande kichwani……………….
Aaaaaaaah
Nasema sipendi dharau…………….
Oooooooh
Kwanini unipande kichwani……………… x 3
Source: Barnaba na wimbo wa sipendi dharau……..
Ommmmmmmh
Aaaaah...Ndipo akataka kujilinganisha na mimi, ndipo akataka kunipanda kichwani, ndipo nilipomshusha thamani ……….
Wala simkatazi, sababu ni mie wake mumewe, ila asizidi akavuka mipaka
Wala simkatazi, sababu ni mie wake mumewe, ila asizidi akavuka mipaka x 2
Aaaaaah
Hakh, sipendi dharau,
oooooooooh
kwa nini unipande kichwani
Aaaaaah
Nasema sipendi dharau,
oooooooooh
kwa nini unipande kichwani
nina – pokupikia chakula siyo mjinga
Na nina – pokuwekea maji ya kuoga siyo mjinga vile vile
ila ni upendo wangu kwa sana, basi niheshimu usivuke mipaka,
juzi juzi ulikuja na ka-boy boy ukajishauwa sana, ukasema kamechoka tena kako hoi hoi…………Nimwekee maji ya kuoga
Vipi!
He, taulo langu nimpe, na hata msosi wangu pia ale………………
Hizo dharau dharau dharau……………… sipendi dharau!
Aaaaaaaah
Hakh, sipendi dharau…………….
Oooooooh
Kwanini unipande kichwani……………….
Aaaaaaaah
Nasema sipendi dharau…………….
Oooooooh
Kwanini unipande kichwani……………… x 3
Source: Barnaba na wimbo wa sipendi dharau……..