Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,622
- 112,699
Sipendi kuchanganya l na R katika uandishi, muda mwingine inabidi niepuke kutumia baadhi ya maneno ili nisiyakosee, naomba kueleweshwa haya maneno yanaandikwaje kwa ufasaha.
Je ni lipi sahihi
kachumbali au kachumbari?
Kulogwa au kurogwa
Mkwala au mkwara?
Nitaongezea nitakayokumbuka.
Je ni lipi sahihi
kachumbali au kachumbari?
Kulogwa au kurogwa
Mkwala au mkwara?
Nitaongezea nitakayokumbuka.