Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,628
Kuna hali inanitokea naona sina thamani wala lolote kwenye hii dunia, sioni dhumuni la kuishi. I see no future mbele yangu.
Nilipitia majaribu tangu nazaliwa. Sina furaha kamili na huwa nafanya juhudi kuwa na furaha. Binadamu mwenzangu namuogopa na namuona ndio anenizidishia maumivu.Wamenitendea ya kutosha ila Mungu kanipa moyo wakusamehe.
Naogopa kujiua ni dhambi, ingekuwa halali mi ningeshaondoka.
Nilipitia majaribu tangu nazaliwa. Sina furaha kamili na huwa nafanya juhudi kuwa na furaha. Binadamu mwenzangu namuogopa na namuona ndio anenizidishia maumivu.Wamenitendea ya kutosha ila Mungu kanipa moyo wakusamehe.
Naogopa kujiua ni dhambi, ingekuwa halali mi ningeshaondoka.