Kingsmann
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 4,448
- 16,312
Ujue kuna mambo yanashangaza, wakati dunia inaelekea kwenye centralization of works through digitalization, sisi tunazidi kufanya decentralization ya kazi zetu.
Kuna haja gani mtumishi wa umma kuwa na TIN wakati huohuo anayo National Identification Number (NIN) na Cheque Number ya mshahara ambazo zinaweza kutumika kwa kazi hiyohiyo? Nchi nyingi kwa sasa watumishi wake wanatumia Namba moja tuu kwenye michakato yoote ya kiserikali.
Mfano Marekani ukiwa na Social Security Number (SSN) inatumika kama TIN. UK ukiwa na National Insurance Number (NINO), au Unique Taxpayer Reference (UTR) inatumika kama TIN. Hong Kong, ukiwa na Hong Kong Identity Card (HKID) inatumika kama TIN. Pakistan, ukiwa na Computerised National Identity Card (CNIC) unaitumia kama TIN.
TIN ni namba maalumu ambayo inakutambulisha kama mlipa kodi. Mtumishi anaweza kutumia NIN ama Cheque Number yake kama TIN na kusiwe na shida yoyote. Hamna haja ya kupewa namba nyingine special kwa ajili utambulisho wa mlipa kodi.
Kwa kifupi NIN zilitakiwa zitumike kama TIN kwa watu wote hata wafanyabiashara binafsi(sio makampuni) kwa maana kila mtu ana NIN ambayo ni unique kwake tuu. Sasa kwa nini uanze kutengeneza TIN mpya wakati NIN zinaweza kutumika kwa kazi/lengo hilohilo na kukuwezesha kuokoa muda?
TRA kaeni chini mtafakari upya huu utaratibu wenu, unawaongezea mzigo badala ya kupunguza.
Kuna haja gani mtumishi wa umma kuwa na TIN wakati huohuo anayo National Identification Number (NIN) na Cheque Number ya mshahara ambazo zinaweza kutumika kwa kazi hiyohiyo? Nchi nyingi kwa sasa watumishi wake wanatumia Namba moja tuu kwenye michakato yoote ya kiserikali.
Mfano Marekani ukiwa na Social Security Number (SSN) inatumika kama TIN. UK ukiwa na National Insurance Number (NINO), au Unique Taxpayer Reference (UTR) inatumika kama TIN. Hong Kong, ukiwa na Hong Kong Identity Card (HKID) inatumika kama TIN. Pakistan, ukiwa na Computerised National Identity Card (CNIC) unaitumia kama TIN.
TIN ni namba maalumu ambayo inakutambulisha kama mlipa kodi. Mtumishi anaweza kutumia NIN ama Cheque Number yake kama TIN na kusiwe na shida yoyote. Hamna haja ya kupewa namba nyingine special kwa ajili utambulisho wa mlipa kodi.
Kwa kifupi NIN zilitakiwa zitumike kama TIN kwa watu wote hata wafanyabiashara binafsi(sio makampuni) kwa maana kila mtu ana NIN ambayo ni unique kwake tuu. Sasa kwa nini uanze kutengeneza TIN mpya wakati NIN zinaweza kutumika kwa kazi/lengo hilohilo na kukuwezesha kuokoa muda?
TRA kaeni chini mtafakari upya huu utaratibu wenu, unawaongezea mzigo badala ya kupunguza.