Valentina
R I P
- Oct 12, 2013
- 24,688
- 28,850
Huo ni wimbo wa Tekno
[emoji57] [emoji57] [emoji57]
Huo ni wimbo wa Tekno
Huo ni wimbo wa Tekno
Umewaitia nini haoYeaah i like it ,,,[emoji12]Eheeeee huwezi kunisambaza sema nini hakuna kunywa konyagi mziki wake siuwezi mie bado mdogo [emoji23][emoji23],, umenielewaaa picha tutakarushia kale kachawi si ndio
Lol...Huyu nilishamuona naye kwenye part fulani hivi hapa dar maana selfie yao ilirushwa hapa jamvini. Sasa kipindi flani avatar yake ikiwa ile ya katoto kumbe ni mbibi ila kama karuka stage ya ujana. namuona ana undergo half live
Kakaako umemuona ee[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Ngoja tumalize hii kesi kwanza[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119] ,,,wee twendezetu
Shoga angu kama uliibiwa mume nawe iba tu hakuna namna maana mtu mzima haibiwiiii +mauno feni
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Mkuu hichi ulichokiandika umeandika kwa hisia za image za kichwan kwako au umeandika kwa uhalisia??Evelyn Salt ni msichana mrembo ambae kafaulu kuiteka akili yangu kwa kiwango cha kuifanya akili yangu isione kasoro kwake,Umbo namba 8,rangi ya ngoz na weupe wa macho Yake ya mduara vinanikosesha sabab za kwann nisimpendelee!?
Ana kitovu kilichobonyea ndan mithili ya kizibo cha Saint Anna,Vishimo vilivyoingia ndan ya mashavu Yake na midomo Yake yenye kuleta mvuto zaidi usoni mwake vinanifanya nikose sabab ya kwann nisimpendelee.
KAMA na wew Kuna mrembo anakunyima usingizi hebu tafadhar mtaje Jina na uorodheshe sabab za kwann usimpendelee.![]()
Kwahyo hapa hujavionaWeka picha nyingine ya kucheka ili na mimi nione hivo vishimo
Naweza tu kuvaa kwani sh.ngapi huh!!Usiivalie kanzu shereh siyo yako
Hakuna kesi hapaNgoja tumalize hii kesi kwanza
Huyu ndio Evelyn Salt waungwana au[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]Evelyn Salt ni msichana mrembo ambae kafaulu kuiteka akili yangu kwa kiwango cha kuifanya akili yangu isione kasoro kwake,Umbo namba 8,rangi ya ngoz na weupe wa macho Yake ya mduara vinanikosesha sabab za kwann nisimpendelee!?
Ana kitovu kilichobonyea ndan mithili ya kizibo cha Saint Anna,Vishimo vilivyoingia ndan ya mashavu Yake na midomo Yake yenye kuleta mvuto zaidi usoni mwake vinanifanya nikose sabab ya kwann nisimpendelee.
KAMA na wew Kuna mrembo anakunyima usingizi hebu tafadhar mtaje Jina na uorodheshe sabab za kwann usimpendelee.![]()
Huyu ndio Evelyn Salt waungwana au[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sio mbaya tukimfahamu,utakuwa umetusaidiaAkiwa yeye napiga picha uchi wangu naweka sasa hivi au niweke picha zake?
Hehehe anafanana na huyo huyo ni mzuri hatareeeee kama unataka picha yake nikupe namba yangu ya mpesaAkiwa yeye napiga picha uchi wangu naweka sasa hivi au niweke picha zake?