Sioni kwa sababu kwanini nisimpendelee

Sioni kwa sababu kwanini nisimpendelee

Nimegundua kuoa mke mzuri, ni sawa na kuotesha mzambarau nje ya nyumba, na njia ambayo wanapita watoto wa shule.

Baada ya kusema hayo, sijutii kukupenda na kuwa nawe...Nakupenda sana wife!!!
My sweet mangii..... Nakupendaga
 
Huyu nilishamuona naye kwenye part fulani hivi hapa dar maana selfie yao ilirushwa hapa jamvini. Sasa kipindi flani avatar yake ikiwa ile ya katoto kumbe ni mbibi ila kama karuka stage ya ujana. namuona ana undergo half live
Acha umbea mwanaume, sijawahi kuhudhuria hizo part zenu, wala sina mpango huo!!!
 
Dah kuna mmoja anaitwa hamisa mobetto mtoto yule atanitoa roho yangu, yaani namsaka kwa udi na uvumba Kila kona ya jiji,
1478158604943.png
 
Mmmh ahsante, ila hizi sifa mweh..... Ntamkoma mme wangu akisoma hapa 😀
Na nimesha zisoma hizo sifa na kwa mbaaali naona kama kuna ka ukweli vile! sijui ndiyo maana siku hizi nakuwa sikuelewielewi?
 
...watu mna imagination balaa!! Umeshamtengenezea Ev picha tayari, hope hujaitundika bafuni[emoji12]
Ha ha ha ha ha ha.. Mtani bhana, unahisi anaweza kuwa mjumbe kwenye lile chama kubwa la wacheza puli?
 
Huyu mi ananimaliza jamani. Namtafuta sijui ntampata wapi.
 

Attachments

  • 1478162363142.jpg
    1478162363142.jpg
    16.4 KB · Views: 65
Back
Top Bottom