Sioni kwa sababu kwanini nisimpendelee

Sioni kwa sababu kwanini nisimpendelee

Jiran mwema

Senior Member
Joined
Nov 7, 2015
Posts
164
Reaction score
104
Evelyn Salt ni msichana mrembo ambae kafaulu kuiteka akili yangu kwa kiwango cha kuifanya akili yangu isione kasoro kwake,Umbo namba 8,rangi ya ngoz na weupe wa macho Yake ya mduara vinanikosesha sabab za kwann nisimpendelee!?

Ana kitovu kilichobonyea ndan mithili ya kizibo cha Saint Anna,Vishimo vilivyoingia ndan ya mashavu Yake na midomo Yake yenye kuleta mvuto zaidi usoni mwake vinanifanya nikose sabab ya kwann nisimpendelee.
KAMA na wew Kuna mrembo anakunyima usingizi hebu tafadhar mtaje Jina na uorodheshe sabab za kwann usimpendelee.
38aadeb6804eeb2e6b7eff3bb3679bf3.jpg
 
Evelyn Salt ni msichana mrembo ambae kafaulu kuiteka akili yangu kwa kiwango cha kuifanya akili yangu isione kasoro kwake,Umbo namba 8,rangi ya ngoz na weupe wa macho Yake ya mduara vinanikosesha sabab za kwann nisimpendelee!?

Ana kitovu kilichobonyea ndan mithili ya kizibo cha Saint Anna,Vishimo vilivyoingia ndan ya mashavu Yake na midomo Yake yenye kuleta mvuto zaidi usoni mwake vinanifanya nikose sabab ya kwann nisimpendelee.
KAMA na wew Kuna mrembo anakunyima usingizi hebu tafadhar mtaje Jina na uorodheshe sabab za kwann usimpendelee.
38aadeb6804eeb2e6b7eff3bb3679bf3.jpg

Hilo umbo namba 8,kitovu chake,ngozi nyeupe,mashavu yake,macho yake ya mduara uliviona wapi na lini mkuu??? 🙂
 
Huyu nilishamuona naye kwenye part fulani hivi hapa dar maana selfie yao ilirushwa hapa jamvini. Sasa kipindi flani avatar yake ikiwa ile ya katoto kumbe ni mbibi ila kama karuka stage ya ujana. namuona ana undergo half live
 
Huyu nilishamuona naye kwenye part fulani hivi hapa dar maana selfie yao ilirushwa hapa jamvini. Sasa kipindi flani avatar yake ikiwa ile ya katoto kumbe ni mbibi ila kama karuka stage ya ujana. namuona ana undergo half live
Mkuu unataka kunambia iyo picha inadanganya.... mbona anaonekana mbichi kabisa
 
Mmmh ahsante, ila hizi sifa mweh..... Ntamkoma mme wangu akisoma hapa 😀
Hahahaha huyu aliyekumiminia sifa ni Viol? amebadili jina? hahaha btw hongera kwa masifa tele hakuna mwanamke asiyependa kusifiwa lol
 
Back
Top Bottom