Maryfavoured
Member
- Oct 11, 2018
- 26
- 4
Kwenye profile niko selected but kwenye majina ya waliochaguliwa sipo
Ni dodoma mimi niko darKama uko karibu na icho chuo nenda direct kachukue admission form yako
nami niangalizie jina kama limetoka.Kwenye profile niko selected but kwenye majina ya waliochaguliwa sipo
Hapana ni udahili wa vyuo vikuu round 4Unazungumzia uchaguzi? Au ni majina teuzi mpya?
Thank you for encouragementRelax,ushapata chuo
Aisee....kweli ni neema tuhakuna tatizo mimi mwenyewe kuna rafiki yangu ili mtokea hiyo mwaka jana yani kwenye profile yake kachaguliwa ila kwenye list ya majina ambao wanatakiwa kujiunga na chuo hiko akuwepo akaenda chuoni moja kwa moja wakamwambia tayari yuko kwenye system na jina lake lishapelekwa kwenye board ya mikopo tayari tangu alipochaguliwa tu
Andika ieleweke, kuna watu tunangoja selection za green card tukaishi AmericaHapana ni udahili wa vyuo vikuu round 4
Asante kwa hayo..nilikua na stress....I wil be patientHuyu mtu kweli anaenda Chuo? Ok maybe amepanic.
Round ya 4 TCU bado hawaja-verify.
Kama uliapply kwenye OAS ya Chuo ukaona upo selected iyo inamaana umekidhi vigezo vya kusoma hiyo course according to Admission criteria za iko Chuo.
Next stage Chuo kinakupeleka TCU (deadline ilikua tarehe 24 October kwa Chuo chetu kupeleka sijui kama ni wote) hafu wao TCU wanaverify na ndio wanatuma majina back chuoni na status kama Multiple Admission, Selected, Prior Admission, Not Qualified, No A-Level Subjects Minimum Pass, etc
Hafu Chuo kinakuambia wewe.
Sasa Chuo kukuambia umechaguliwa kabla ya TCU ndio yale yale ya UDSM juzi juzi baadae wanaanza kukuambia sorry chuo kimejaa.
Asante kwa hayo..nilikua na stress....I wil be patient