Basi atakua anaumwa sana..
Niliwahi kupasuliwa tumbo hospitali mwaka jana,nilipozinduka tu baada ya kupata uwezo wa kujigeuza kitandani nikauliza simu yangu nilog in jf.
Habari zenu wana mmu natumai mmesherehekea sikukuu ya pasaka vizuri ni muda sasa sijawa active humu ndani nimewamiss miss chaggaHeaven on EarthEiyermwekundu na wengineo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.