Siombi tena kazi uhamiaji

Mkuu,
ukipatwa hasira usisimame kaa, na kama umekaa usinyanyuke.
Punguza jazba.
 
Da don't jock ni kusikitika a degree holder anapiga picha kitaa jambo ambalo hakuwahi kuwaza kulifanya katika maisha yake ,
Mwingine anasema watu wanasoma degree zisizo na ajira jambo ambalo sio kweli bcoz chuo kinapotaka kuanzisha degree flani lazima ipitishe serikalini ili waruhusu kama kweli wana uhitaji wa wataalamu wa fani hiyo.
Sina mashaka yanayotokea katika nchi za wenzetu ni kutokana na kuwepo kwa kundi kubwa la watu wanapata ugumu wa maisha kufikia hatua ya kuona wanaonewa ktk kila jambo.
Watoto wa wakubwa wanasoma madegree ambayo hujui hata akimaliza anaomba kazi wizara gani lakini baadaye unasikia yupo wizarani au kwenye NGO'S Ambazo huezi kuona mtoto wa mkata ufuta akifanya kazi huko.
 
Pole mkuu chukua cha juu hapa tafuta mteja tukimtengenezea web unapata 30% sisi hatubagui fuata link hii News website TSHS 300,000
Ndg wanaJamiiForum.

Sitokaa niombe tena kazi uhamiaji, kwasababu ajira zenyewe wanapeana na sio kistaharabu ni kwa dharau na kutuonesha watanzania tusiokuwa na ndugu uhamiaji hatuna chetu.

Hamna noma uhamiaji, ila kama kuna mtu nduguye au babayake yuko pale mwambie waaendelee na tabia yao nzuri, POA
 
Nilioona kule kwenye thread ya uhamiaji yametimia kwamba tujiandae na mazoez makali nikakuuliza mazoezi gani hujanijibu ebu tusaidie kwa hili

jiandae jinsi ya kujibu, tell us about you,what is your wekness and streinght, why we should hire you, what is your salary expectation na mengineyo
 
Majna ya wakubwa ndo mengi na C/o za watu wanaofahamika c tuliotoka familia masikin ndo tuliokosa bt tukomaa tu tutatoka hata bila kuajiliwa me saiv na degree yng nimekuw mpiga picha kitaa wananicheka bt nakomaa kiaina

Kula 5, gwara we ndo mchizi wangu!
 
Elimu siyo vyeti nachoma... jaribu fata huu ushaur wa kijinga LA msingi we pekee ndo umeyashka maisha yako mkononi ukikata tamaa hakuna wa kukusaidia jipange upya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom