Sio vizuri walinzi wa benki kuhudumia wateja

Sio vizuri walinzi wa benki kuhudumia wateja

Watu wana darau sana yani kwenda kutoa laki tano ndo hutaki kuulizwa shida yako
Sasa si ndo hapo! Angemjibu shida yake angepungukiwa nini? Tatizo ni dharau kwa kuwa anaona huyo mlinzi mshahara wake wa 50,000 anaona hana mamlaka ya kumhoji,kisa yeye ana uwezo wa kupata hiyo 50 kwa siku.
 
Ni ngumu kwa mlinzi kujua mteja nimetoka na kiasi gani cha fedha,labda teller
Hawezi kujua ni kiasi gani lakin kwa kuangalia tu bunda LA hela unalohangaika kuliweka kwenye bahasha LA kaki baada ya kutoka kwa teller.. kwake ni info tosha
 
Ni ngumu kwa mlinzi kujua mteja nimetoka na kiasi gani cha fedha,labda teller

Ukisoma thread inazungumzia jinsi ambavyo walinzi wanavyosaidia watu kujaza zile form za deposits and withdraws, hii kitu inaboa sana.

Pia unakuta wanashangaa shangaa pale kwenye dawati la kujazia info, sasa kwa muktadha huo ni rahisi kujua ni kiasi gani umedraw, bila kusahau pia kwamba wako likely kujua aina ya usafiri uliokuja nao maana wanaruhusiwa hata kutoka toka nje, so ni rahisi kutengeneza trail.
 
Mkuu kwenye ATM ndio kabisa , kuna mmoja pale hapo........... balaa, yeye utamsikia ''' oooo boss nakuona unakuja kuchukua mshiko aise sisi hapa vyuma vimekaza sana aiseeeeee''' sasa hapo ukiwa na tatizo kidogo labda na password au unafikiria amount ya kuchukua atafika na kukuswalika'' vipi kuna shida? bonyeza hapo, au hiyo machine haitoi risiti.... maswali kibao , mpaka unaondoka eneo hilo hujui kama password iko salama!!! wengine mizinga wanapiga fasta kabla hujaondoka eneo la tukio, kuna huyu mmoja nikimkuta huwa navunga na kuondoka kwenda sehemu nyingine
Ni kweli aisee
 
Wa pale CRDB tawi flani Dar sometimes wanakupa kabisa namba. Wanaangalia "mstaarabu" anayeweza kuapreciate ile offer. Wanajiongeza ili kama uma huruma uwaachie hata buku mbili. Maisha ni magumu
 
  • Thanks
Reactions: lup
Makampuni ya ulinzi hua yana mikataba tofauti..kwenye taasisi nyingi za kifedha (si zote) Makampuni husika yanakua nadhamana ya shughuli zote kuanzia wateja, parking magari nk..Kitendo cha mlinzi kukuuliza ni sehemu ya majukumu yake kwakua hata ikifika SAA kumi mlinzi wa zamu ndiye mwenye mamlaka ya kutoa greenlight mteja apate huduma ama vinginevyo..na hata branch manager hana sauti kwakua ni swala la kisheria zaidi..kwamba wewe umeingia bank una shangaa shangaa ghafla ufanye tukio..ni nyeye aliyekua lindoni ataoza jela na kampuni yake iliyo muajiri itakula hasara! tuache dharau..pesa ni zako ndiyo lakini kujishusha japo Mara moja si dhambi! hayuko mule ndani kwa bahati mbaya! na wewe uache uswahili hujaona kibao au sehemu ya Enquiries?
Kama ni mkataba wa walinzi kutoa Huduma za kibenk ni benk iweke tangazo maana kumbuka hiyo ni pesa na sio rahisi kumwamini kila MTU lakini kumbuka mafunzo ya kiulinzi ni tofauti kabisa na huduma kwa Wateja hasa Benk maana mtu ukihitaji Huduma za kifedha kuna namna MTU unahitaji kukutana nayo ili ujiridhishe kuwa pesa yako iko salama na unahudumiwa na MTU sahihi
 
Mkuu sijakuelewa unaposema walinzi, nijuavyo walinzi ni wale wenye silaha huwa wapo nje na wale ndani ni wahudumu kwa ajili ya kutoa msaada kwa Wateja, lkn wanavaa sale km askari. Naomba kufungua mguu mkuu
 
  • Thanks
Reactions: lup
Mkuu sijakuelewa unaposema walinzi, nijuavyo walinzi ni wale wenye silaha huwa wapo nje na wale ndani ni wahudumu kwa ajili ya kutoa msaada kwa Wateja, lkn wanavaa sale km askari. Naomba kufungua mguu mkuu
 
Mkuu sijakuelewa unaposema walinzi, nijuavyo walinzi ni wale wenye silaha huwa wapo nje na wale ndani ni wahudumu kwa ajili ya kutoa msaada kwa Wateja, lkn wanavaa sale km askari. Naomba kufungua mguu mkuu
Kuna makampuni ya ulinzi na yanajulikana kwa sale zao na kuna wahudumu wa benk nao wana sare zao, sasa mimi kumjua MTU ni mlinzi ni pale ninapoona sare yake mtu kavaa sare ya G4S(mfano), na wa nje nimepishana naye mwigine amebeba siraha akiwa kwenye sare ya G4S, hao inamaanisha wote ni walinzi ila vitengo tofauti na kuwa milinzi sio lazima hadi uwe na silaha au silaha ya kuonekana,
Sasa unakuta MTU anajezi za kampuni ya ulinzi na ikibidi hadi ana rungu na hali wafanyakazi wa benki wanasare zao. Na bado anakomaa kukulazimisha akusikilize
 
Back
Top Bottom