Sio vizuri walinzi wa benki kuhudumia wateja

Sio vizuri walinzi wa benki kuhudumia wateja

lup

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2015
Posts
2,514
Reaction score
2,744
Za asubuhi hii.

Leo katika majukumu ya kila siku nililazimika kwenda bank moja hapa kwenye jengo maarufu jijini Mwanza. Nikafika benki moja nikawa nahitaji kuchukuwa pesa niliyotumiwa kutoka nje.

Wakati nataka kwenda kwa mhudumu wa wateja nikaulizwa na mlinzi wa ndani shida yangu ni nini. Ukweli sikupenda lile swali maana nilijua sio wajibu wake nikataka kwenda sehemu niliyotaka lakini alionesha kutaka kujua shida yangu kama vile ndio anaweza kutatua na kutolea majibu.

Nikaona isiwe shida nikamwambia hitaji langu cha kushangaza ni kama ni kitu kipya kwake na hajui chochote.

Hii tabia ipo kwenye mabenki mengi na ukweli huwa inakera wateja. Unakuta mlinzi amekomaa kuhoji wateja hadi anawajazia form
 
Aisee, wanakeraga hao wanataka wajue shida za wateja kwanza si wasubiri mteja amfuate kumweleza kama amekwama sehemu au kuna form haioni.
 
Za asubuhi hii.

Leo katika majukumu ya kila siku nililazimika kwenda bank moja hapa kwenye jengo maarufu jijini Mwanza. Nikafika benki moja nikawa nahitaji kuchukuwa pesa niliyotumiwa kutoka nje.

Wakati nataka kwenda kwa mhudumu wa wateja nikaulizwa na mlinzi wa ndani shida yangu ni nini. Ukweli sikupenda lile swali maana nilijua sio wajibu wake nikataka kwenda sehemu niliyotaka lakini alionesha kutaka kujua shida yangu kama vile ndio anaweza kutatua na kutolea majibu.

Nikaona isiwe shida nikamwambia hitaji langu cha kushangaza ni kama ni kitu kipya kwake na hajui chochote.

Hii tabia ipo kwenye mabenki mengi na ukweli huwa inakera wateja. Unakuta mlinzi amekomaa kuhoji wateja hadi anawajazia form
Walinzi gani hao mkuu polisi au walinza wa kampuni weka bayana hapo
 
Makampuni ya ulinzi hua yana mikataba tofauti..kwenye taasisi nyingi za kifedha (si zote) Makampuni husika yanakua nadhamana ya shughuli zote kuanzia wateja, parking magari nk..Kitendo cha mlinzi kukuuliza ni sehemu ya majukumu yake kwakua hata ikifika SAA kumi mlinzi wa zamu ndiye mwenye mamlaka ya kutoa greenlight mteja apate huduma ama vinginevyo..na hata branch manager hana sauti kwakua ni swala la kisheria zaidi..kwamba wewe umeingia bank una shangaa shangaa ghafla ufanye tukio..ni nyeye aliyekua lindoni ataoza jela na kampuni yake iliyo muajiri itakula hasara! tuache dharau..pesa ni zako ndiyo lakini kujishusha japo Mara moja si dhambi! hayuko mule ndani kwa bahati mbaya! na wewe uache uswahili hujaona kibao au sehemu ya Enquiries?
 
Walinzi mishahara yao haitoshelezi bukubuku zinasaidia acha ubahiri wewe, ukifika wape wakujazie form ila kama ni mamilioni usithubutu maana ni siri yako kwa sababu hata mateller kwa mtu ambaye ni regularly anatoa na kuweka pesa nyingi si wa kuwaamini sana kwa kuwapa personal info
 
Makampuni ya ulinzi hua yana mikataba tofauti..kwenye taasisi nyingi za kifedha (si zote) Makampuni husika yanakua nadhamana ya shughuli zote kuanzia wateja, parking magari nk..Kitendo cha mlinzi kukuuliza ni sehemu ya majukumu yake kwakua hata ikifika SAA kumi mlinzi wa zamu ndiye mwenye mamlaka ya kutoa greenlight mteja apate huduma ama vinginevyo..na hata branch manager hana sauti kwakua ni swala la kisheria zaidi..kwamba wewe umeingia bank una shangaa shangaa ghafla ufanye tukio..ni nyeye aliyekua lindoni ataoza jela na kampuni yake iliyo muajiri itakula hasara! tuache dharau..pesa ni zako ndiyo lakini kujishusha japo Mara moja si dhambi! hayuko mule ndani kwa bahati mbaya! na wewe uache uswahili hujaona kibao au sehemu ya Enquiries?
Kama hajakuelewa basi ni jeuli.
 
Mkuu kwenye ATM ndio kabisa , kuna mmoja pale hapo........... balaa, yeye utamsikia ''' oooo boss nakuona unakuja kuchukua mshiko aise sisi hapa vyuma vimekaza sana aiseeeeee''' sasa hapo ukiwa na tatizo kidogo labda na password au unafikiria amount ya kuchukua atafika na kukuswalika'' vipi kuna shida? bonyeza hapo, au hiyo machine haitoi risiti.... maswali kibao , mpaka unaondoka eneo hilo hujui kama password iko salama!!! wengine mizinga wanapiga fasta kabla hujaondoka eneo la tukio, kuna huyu mmoja nikimkuta huwa navunga na kuondoka kwenda sehemu nyingine
 
Mkuu kwenye ATM ndio kabisa , kuna mmoja pale hapo........... balaa, yeye utamsikia ''' oooo boss nakuona unakuja kuchukua mshiko aise sisi hapa vyuma vimekaza sana aiseeeeee''' sasa hapo ukiwa na tatizo kidogo labda na password au unafikiria amount ya kuchukua atafika na kukuswalika'' vipi kuna shida? bonyeza hapo, au hiyo machine haitoi risiti.... maswali kibao , mpaka unaondoka eneo hilo hujui kama password iko salama!!! wengine mizinga wanapiga fasta kabla hujaondoka eneo la tukio, kuna huyu mmoja nikimkuta huwa navunga na kuondoka kwenda sehemu nyingine
Uongo mtupu
 
Makampuni ya ulinzi hua yana mikataba tofauti..kwenye taasisi nyingi za kifedha (si zote) Makampuni husika yanakua nadhamana ya shughuli zote kuanzia wateja, parking magari nk..Kitendo cha mlinzi kukuuliza ni sehemu ya majukumu yake kwakua hata ikifika SAA kumi mlinzi wa zamu ndiye mwenye mamlaka ya kutoa greenlight mteja apate huduma ama vinginevyo..na hata branch manager hana sauti kwakua ni swala la kisheria zaidi..kwamba wewe umeingia bank una shangaa shangaa ghafla ufanye tukio..ni nyeye aliyekua lindoni ataoza jela na kampuni yake iliyo muajiri itakula hasara! tuache dharau..pesa ni zako ndiyo lakini kujishusha japo Mara moja si dhambi! hayuko mule ndani kwa bahati mbaya! na wewe uache uswahili hujaona kibao au sehemu ya Enquiries?
Yeah true dat
 
Back
Top Bottom