lup
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 2,514
- 2,744
Za asubuhi hii.
Leo katika majukumu ya kila siku nililazimika kwenda bank moja hapa kwenye jengo maarufu jijini Mwanza. Nikafika benki moja nikawa nahitaji kuchukuwa pesa niliyotumiwa kutoka nje.
Wakati nataka kwenda kwa mhudumu wa wateja nikaulizwa na mlinzi wa ndani shida yangu ni nini. Ukweli sikupenda lile swali maana nilijua sio wajibu wake nikataka kwenda sehemu niliyotaka lakini alionesha kutaka kujua shida yangu kama vile ndio anaweza kutatua na kutolea majibu.
Nikaona isiwe shida nikamwambia hitaji langu cha kushangaza ni kama ni kitu kipya kwake na hajui chochote.
Hii tabia ipo kwenye mabenki mengi na ukweli huwa inakera wateja. Unakuta mlinzi amekomaa kuhoji wateja hadi anawajazia form
Leo katika majukumu ya kila siku nililazimika kwenda bank moja hapa kwenye jengo maarufu jijini Mwanza. Nikafika benki moja nikawa nahitaji kuchukuwa pesa niliyotumiwa kutoka nje.
Wakati nataka kwenda kwa mhudumu wa wateja nikaulizwa na mlinzi wa ndani shida yangu ni nini. Ukweli sikupenda lile swali maana nilijua sio wajibu wake nikataka kwenda sehemu niliyotaka lakini alionesha kutaka kujua shida yangu kama vile ndio anaweza kutatua na kutolea majibu.
Nikaona isiwe shida nikamwambia hitaji langu cha kushangaza ni kama ni kitu kipya kwake na hajui chochote.
Hii tabia ipo kwenye mabenki mengi na ukweli huwa inakera wateja. Unakuta mlinzi amekomaa kuhoji wateja hadi anawajazia form