Kuna siku tupo CBE akaja jamaa na demu wakaagiza nyama ilipofika muhudumu akawa kasahau maji binti akaonyesha ufakhari akanawa redbull kitendo hicho nikakishuhudia kumbe nimegonganish macho na yule kijana basi kijana akanifinya jicho kitendo kikapita nikawapotezea.
Baada ya saa nzima kukawa na mzozo mezani kati ya muhudumu na yule bint kumbe kijana kaingia kizani ndipo nilipokumbuka alipofinya jicho alimaanisha kama hii picha umeiona subiri na part 2 bint katika kipimajoto ana mia 5 bill ilikuwa 6000 akabidi watu wadhamini pambano.