Sio sahihi kuita Ai(artificial intelligence) akili bandia

John makonda

JF-Expert Member
Mar 13, 2021
212
187
Neno linalotumika kutafsiri neno la AI artificial intelligence Kwa Kiswahili sio sahihi kuita akili bandia ni kupoteza maana halisi ya Ai artificial intelligence. Neno kwenye maana Bora iitwe AKILI MBADALA.

Tumekuwa na utamaduni wa kutafsiri neno Kwa neno hayo ni makosa ya matumizi ya lugha.

Lugha hutafsiriwa Kwa neno Kwa maana.
 
Neno linalotumika kutafsiri neno la AI artificial intelligence Kwa Kiswahili sio sahihi kuita ajiri bandia ni kupoteza maana harisi ya Ai artificial intelligence
Neno kwenye maana Bora iitwe AKIRI MBADALA
Tumekua na utamaduni wa kutafsiri neno Kwa neno hayo ni makosa ya matumizi ya lugha
Lugha utafsiriwa Kwa neno Kwa maana
 
Neno linalotumika kutafsiri neno la AI artificial intelligence Kwa Kiswahili sio sahihi kuita ajiri bandia ni kupoteza maana harisi ya Ai artificial intelligence
Neno kwenye maana Bora iitwe AKIRI MBADALA
Tumekua na utamaduni wa kutafsiri neno Kwa neno hayo ni makosa ya matumizi ya lugha
Lugha utafsiriwa Kwa neno Kwa maana
DAH:
 
Neno linalotumika kutafsiri neno la AI artificial intelligence Kwa Kiswahili sio sahihi kuita ajiri bandia ni kupoteza maana harisi ya Ai artificial intelligence
Neno kwenye maana Bora iitwe AKIRI MBADALA
Tumekua na utamaduni wa kutafsiri neno Kwa neno hayo ni makosa ya matumizi ya lugha
Lugha utafsiriwa Kwa neno Kwa maana
Ajiri, akiri = mtoa post usrekebishe lugha kwanza. Na pili ni akili mnemba
 
Neno linalotumika kutafsiri neno la AI artificial intelligence Kwa Kiswahili sio sahihi kuita akili bandia ni kupoteza maana halisi ya Ai artificial intelligence. Neno kwenye maana Bora iitwe AKILI MBADALA.

Tumekuwa na utamaduni wa kutafsiri neno Kwa neno hayo ni makosa ya matumizi ya lugha.

Lugha hutafsiriwa Kwa neno Kwa maana.
Haiwezi kuwa akili mbadala, neno sahihi la kiswahili tayari lipo
 
Neno linalotumika kutafsiri neno la AI artificial intelligence Kwa Kiswahili sio sahihi kuita akili bandia ni kupoteza maana halisi ya Ai artificial intelligence. Neno kwenye maana Bora iitwe AKILI MBADALA.

Tumekuwa na utamaduni wa kutafsiri neno Kwa neno hayo ni makosa ya matumizi ya lugha.

Lugha hutafsiriwa Kwa neno Kwa maana.
Akili huna ,hujitambui.

Kinyume cha halisi ni bandia , huwezi kulazimisha kinyume cha halisi kiwe ni mbadala.

Natural intelligence (akili halisi), artificial intelligence (akili bandia).
 
Alafu kaandika thread na yuko serious😂😂😂😂😂😂😂..
Kuna watu wamechanganyikiwa mazeee sio bure
 
Back
Top Bottom