Sio NEC,NIDA na pengine inawezekana CCM ina cable JF.

Sio NEC,NIDA na pengine inawezekana CCM ina cable JF.

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
14,138
Reaction score
33,525
Hapa JF kuna mashambulizi ambayo wana propaganda wapo ambao wanalipwa pesa kueneza ajenda zao.

Kiufupi sasa hata mnacholeta hapa JF kunawapa kazi ngumu CCM.

Mlipo sasa mtatema bungo
IMG_2252.jpeg
 
Hawa wapo na wanajulikana kwa id zao kuwa ni wanapropaganda wa ccm. Wana kazi ngumu sana humu kwana hukumbana na vikwazo vya kueneza propaganda zao, hoja zao hupanguliwa na hukimbia jukwaa wapuuzi wale
 
Hawa wapo na wanajulikana kwa id zao kuwa ni wanapropaganda wa ccm. Wana kazi ngumu sana humu kwana hukumbana na vikwazo vya kueneza propaganda zao, hoja zao hupanguliwa na hukimbia jukwaa wapuuzi wale
 
Hawa wapo na wanajulikana kwa id zao kuwa ni wanapropaganda wa ccm. Wana kazi ngumu sana humu kwana hukumbana na vikwazo vya kueneza propaganda zao, hoja zao hupanguliwa na hukimbia jukwaa wapuuzi wale
 
Back
Top Bottom