Sio ndoa za sasa za kuzeeka nao.

Hayo ni madhara ya kung'ang'ania usipopendwa....Ukikutana na upendo wa dhati hakuna maumivu, visasi, ngumi wala mateke...Vijana wengi wanapenda show huku wakichukia Miziki.....Wanaishia kulizwa na kuachiwa maumivu yanayozaa mkato wa tamaa kiasi cha kuamini wanaume/wanawake wote ni wabaya kitu ambacho sio kweli. NOTE 1. "Kama unataka mke/mme bora jiulize nafsini mwako je Mimi ni mke/mme bora" 2. "Ndoa sio mashindano kama huamini jaribu"
 
Matola bado nakumbuka kuwa kwenu mna mijumba na appartments!!! LOL! Back to Topic

Hakuna jambo baya sanaaaa kama kumshawishi/kungangani kama penalty mwanaume akuoe!!!!!!! Weeeeeeeee! Utakuwa Mtumwa wake si utani!

Raha ya ndo mwenzio awe nakupenda sanaaaaaa! (Sio wewe ndo roho inakutoka mwenzio baridaaaaaaaaa)

Point taken!!!
 
Ukisikia mtu mzima hovyo ndio kama wewe Pimbi. huku hawahitajiki watu wenye stress za maisha.

Ha ha ha ha ha ha ha ha ha!!! haloo haloooooooooooooooo!!! Embu funguka macho. Soma hapa chini!!!



MJADALA juu ya Tanzania kuwa na katiba mpya umezidi kuchukua sura mpya baada ya jana kutolewa angalizo kuwa ulete upendo huku
kukiwapo mpango wa kuwasilisha hoja bungeni ili kupitisha azimio la kuwekwa utaratibu wa mchakato huo kwa kuzingatia matakwa ya umma.

Miongoni mwa waliozungumzia suala hilo sasa ni Mbunge wa Jimbo la Monduli (CCM), Bw. Edward Lowassa ambaye amejitosa katika mjadala huo, akijikita zaidi katika kutoa angalizo kuwa ujadiliwe kwa makini huku uzalendo wa taifa ukiwekwa mbele.

Bw. Lowassa ambaye aliwahi kuwa waziri mkuu wa serikali ya awamu ya nne ya Rais Jakaya Kikwete kabla hajajiuzulu kwa kashfa ya Richmond, alisema kuwa mjadala juu ya katiba ni 'mzuri na muhimu kwa ustawi wa taifa lolote' ili kuwa na katiba inayokubalika na makundi yote ndani ya jamii.

Akizungumza wakati wa harambee ya uchangishaji fedha kwa ajili ya ujenzi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Kiutu, wilayani Arumeru, Mkoa wa Arusha, Bw. Lowassa alisema kuwa mjadala huo unaoendelea nchini 'ufanywe kwa lengo la kujenga taifa moja lenye uzalendo, amani na upendo kwa wananchi wote'.

Alitumia fursa hiyo kuliomba kanisa na viongozi wa dini na waumini wa dini zote, kuiombea nchi katika kipindi hiki ili mjadala wa mchakato wa mabadiliko ya katiba yafanyike kwa amani na kupanda mbegu ya upendo miongoni mwa Watanzania.

"Naamini tukiweka mbele upendo mjadala huu utafanyika na tutafanikiwa kufikia suluhisho la kudumu kwa amani na utulivu kama ilivyo ada ya Watanzania," alisema Bw. Lowassa huku akishauri kuwa kila anayeshiriki mjadala huo afanye hivyo akiwa na dhamira safi na nia njema kwa taifa.

Alishukuru uongozi wa KKKT Dayosisi ya Mkoani Arusha na viongozi wa Usharika wa Kiutu, kwa kuonesha imani kwake na kumwalika katika shughuli hiyo muhimu ya kuchangia kanisa, huku akikukmbushia jinsi vyombo vya habari vilivyomwandama kilichopita na kumshukuru Mungu kuweza kushinda yote.

"Unajua kipindi kile magazeti yaliniandama sana, Watanzania wengi walikuja Monduli kunisalimia na kunitia moyo na mimi jibu langu lilikuwa ni moja tu, kwamba 'nayaweza yote katika yeye anitiaye nguvu'," alisema Bw. Lowassa.

Katika hatua nyingine, Mbunge wa Ubungo, Bw. John Mnyika ambaye amedokeza kusudio lake la kuwasilisha hoja bungeni katika mkutano wake wa Februari, mwakani, ili liweke utaratibu wa kuanzishwa, kuratibiwa na kusimamiwa kwa mchakato wa katiba mpya kwa kuzingatia matakwa ya umma

Katika mkutano wake na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Bw. Mnyika alisema ameona kuna haja ya kuwasilisha hoja hiyo mapema kuliko alivyokuwa amepanga awali, baada ya kuona dalili za suala hilo 'kupelekwa katika njia zenye kasoro' ambazo ziliwahi kutumika huko nyuma na matokeo yake kupuuzwa.Bw. Mnyika ambaye pia ni katibu wa Kamati ya Wabunge wa CHADEMA, alisema kuwa itakuwa si sahihi kwa hoja ya katiba mpya kuchukua mkondo wa 'kuundiwa tume au kamati ya rais au jopo la wataalamu washauri,' bali itakuwa ni matumizi mabaya ya fedha za umma kwani vitu kama hivyo viliwahi kuundwa lakini mapendekezo yake yakaishia 'kutupwa kapuni na watawala.' "Zipo sababu kadhaa ambazo zimenisukuma kuona umuhimu wa kulipeleka suala hilo bungeni sasa, ili lichukue mkondo wa bunge, kwanza katiba ni sheria, tofauti yake na sheria zingine yenyewe ni sheria mama.

"Ibara ya 63 (2) na (3) zinaeleza kuwa bunge lina mamlaka ya kutunga sheria pia ibara ya 98 (1) si sheria tu, bunge lina mamlaka ya kufanya mabadiliko ya katiba...hivyo kuna haja ya mjadala huu kuchukua mkondo wa bungeni, ndiyo uende serikalini, kisha urudi bungeni. Lakini pia katiba ni mkataba kati ya watawala na watawaliwa, viongozi na waongozwaji au serikali na wananchi.

"Sasa kama ndivyo hivyo kwenye mkataba wa namna hii ambapo mwenye mali ambaye ni mwananchi anatoa mamlaka ya kusimamiwa mambo yake kwa serikali, lazima yeye awe na kauli kubwa juu ya uendeshwaji wa masuala hayo...ibara ya 8 (1) ya katiba inasema kuwa wananchi ndiyo msingi wa mamlaka yote na madaraka, wajibu wa serikali ni kuleta ustawi kwa niaba yao," alisema Bw. Mnyika na kuongeza;

"Ibara ya 63 (2) inasema kuwa bunge litafanya kazi kwa niaba ya wananchi, kuisimamia na kuishauri serikali, hivyo basi bunge na wabunge ambao ndiyo wawakilishi wa wananchi, wanaosimama badala ya wenye mali wanapaswa kujadili na kutoa maelekezo kwa serikali."Sababu ya tatu ni kuwa huu sasa si wakati tena wa kuendelea kuliundia tume au kamati za rais suala hili, imeshafanyika sana huko nyuma na historia inaonesha kuwa hazikutimiza matakwa ya wananchi.

"Iliundwa tume ya chama, enzi zile za chama kimoja, wakati wa Mwalimu Nyerere mwaka 1976, maarufu kwa jina la Tume ya Thabit Kombo, ndiyo iliyokuja na mapendekezo ya katiba hii mbovu tuliyonayo, yenyewe ilipeleka mapendekezo straight foward (moja kwa moja) kwa Halmashauri Kuu ya chama wakati huo, kisha bunge likayajadili kwa saa tatu na kupitisha.

Bw. Mnyika aliongeza kuwa kila 'joto' la mjadala wa katiba mpya linapopanda, watawala walioko madarakani wamekuwa wakijaribu kuuzima au kupindisha hoja kwa kuunda tume, kamati au jopo na kisha kuishia 'kuweka viraka' badala ya kufanya kulingana na matakwa ya wananchi.

"Ukiacha hiyo Tume ya Thabit Kombo, mwaka 1983 kulikuwa na joto kubwa la mjadala juu ya katiba hii ya mwaka 1977 ambao ndio mjadala wa katiba mpya ulizaliwa kabisa, serikali ikaamua kufanya marekebisho madogo na kuingiza haki za binadamu mwaka 1984...mwaka 1991 ikaundwa Tume ya Nyalali juu ya mfumo wa vyama vingi, lakini kwa jinsi ilivyokusanya maoni ikaona kuna umuhimu wa kuwa na katiba mpya.Bw. Mnyika alisema kuwa mapendekezo hayo ya Tume ya Nyalali juu ya kuandikwa upya kwa katiba na juu ya sheria 40 mbovu yalipuuzwa, isipokuwa lile la kuruhusu mfumo wa vyama vingi kwa sababu ilikuwa ni tume ya rais na yeye kwa mujibu halazimiki kusikiliza ushauri wa mtu yeyote.

"Mwaka 1998 pia ikaundwa tume nyingine ya rais, Tume ya Jaji Kisanga, Tume ya White Paper, tume ya serikali nyingine badala ya tume ya wananchi, rais wa wakati huo, Benjamin Mkapa alipuuza ushauri wa katiba mpya, tena akaibeza kuwa ilifanya zaidi ya ilichokuwa imeagizwa kufanya, badala yake serikali ikachukua mapendekezo ya rais kuwa na mamlaka ya kuteua wabunge 10 na lile la kuondoa ulazima wa mshindi wa urais kushinda kwa asilimia zaidi ya asilimia 50 ya kura zote.

"Marekebisho hayo ya mwaka 2000 kwa maoni yangu yakaturudisha nyuma zaidi badala ya kwenda mbele...suala la kuunda tume, mbali ya kuwa ni matumizi mabaya ya fedha za umma, lakini pia si njia mwafaka kwa sababu rais kwa mujibu wa ibara ya 37 (1) halazimiki kufuata ushauri wa mtu yeyote...lakini pia hii si hoja ya rais wala serikali ni hoja ya wananchi," alisema Bw. Mnyika.

Alisema kuwa kwa hoja yake hiyo ambayo atakuwa ameikamilisha ndani ya juma moja, kisha kuiwasilisha siku moja kabla ya kuanza kwa mkutano wa bunge unaotarajia kujadili hoja hiyo kama zinavyosema kanuni za bunge, ataliomba bunge lianzishe mchakato huo kwa kuisimamia na kuishauri serikali juu ya njia sahihi, na baadaye serikali iitishe mkutano mkuu wa taifa wa kikatiba.

"Kisha kuundwe tume ya kisheria itakayojumuisha watu mbalimbali, si jopo la wataalamu tu, kuratibu maoni ya Watanzania kwani katiba ni mali ya wananchi si ya wataalamu pekee, baada ya hapo ifuatie kura ya maoni itakayojumuisha wananchi wote kufikia mwafaka wa kitaifa juu ya suala hilo.

Alisema kuwa pamoja na kuwa alikuwa na sababu zingine nyingi za kutaka kuwasilisha hoja hiyo ndani ya miaka mitano bungeni, lakini moja ya sababu zilizomfanya aamue kuipeleka katika bunge la Februari, mwakani ni pamoja na kauli ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda, ambaye alisema juma lililopita kuwa atamshauri Rais Jakaya Kikwete aunde jopo la wataalamu kisha watoe mapendekezo ya marekebisho ya katiba lakini si kuandika katiba mpya.

Alisema sababu zingine ni pamoja na kukumbana na swali la mahitaji ya katiba mpya na Tume ya Taifa ya Uchaguzi iliyo huru katika karibu kila mkutano wake wakati wa kampeni za uchaguzi, ambapo alikuwa akiahidi kuwa atakapopewa nafasi ataitumia kuwasilisha hoja bungeni ili mchakato uanze kwa manufaa ya Watanzania, hivyo kuwa hoja ya wapiga kura wake.
 
Ciello tatizo lako kubwa Hujielewi unataka nini katika Mhusiano!!! Sio wewe tu, ni wanawake wengi sana ndo tulivo (Kasoro mimi ofcourse)

Haiwezekani mtu anapokuomba Will you Marry Me? Unakurupuka na YES!!!!!! Na Michozi juuu! WTF!!!!! Inatakiwa akikuuliza Will you marry me? Unajibu It Depends!

Kama unaahidi utakuwa A Man I expect you to be! The Yes Ill Marry You even Today ! But if you fall fall short of my expectations Delibarately even after marrying you my promise to stay with you forever changes!

The forever will apply if and only if you remain the same man that i married!

If you change, dont expect me to remain constant! You cant possibly expect to receive what you cant give inreturn!!!!!

acha mbwembwe wewe! Hakuna kitu kisichobadilika hapa Duniani. Haiwezekani mtu asibadilike tangu akuoe mpaka afe/ufe. Vitu vyote Duniani hubadilika baada ya muda fulani, hata wewe zamani ulikuwa mtoto sasa umebadilika na kuwa mtu mzima. Hata ukinunua Gari jipya baada ya muda litachakaa. Mapenzi mapya mazuri sana lkn yakichakaa ni noma.
 
Last edited by a moderator:
acha mbwembwe wewe! Hakuna kitu kisichobadilika hapa Duniani. Haiwezekani mtu asibadilike tangu akuoe mpaka afe/ufe. Vitu vyote Duniani hubadilika baada ya muda fulani, hata wewe zamani ulikuwa mtoto sasa umebadilika na kuwa mtu mzima. Hata ukinunua Gari jipya baada ya muda litachakaa. Mapenzi mapya mazuri sana lkn yakichakaa ni noma.

Sikatai hata chembe! Nchosema ni kuwa, Akibadilika atarajie na mimi nitabadilka!!!!!!!!!1 Sio yeye abadilike afu mimi nijivike u padri wa muda na kufanya kazi ya kumsamehe dhambi zake!

Hakuna bishara kama hiyo! Mambo ni MTULIZE KABLA HAJAKUTULIZA!!!! Baaaaaaaass!
 
Ciello tatizo lako kubwa Hujielewi unataka nini katika Mhusiano!!! Sio wewe tu, ni wanawake wengi sana ndo tulivo (Kasoro mimi ofcourse)

Haiwezekani mtu anapokuomba Will you Marry Me? Unakurupuka na YES!!!!!! Na Michozi juuu! WTF!!!!! Inatakiwa akikuuliza Will you marry me? Unajibu It Depends!

Kama unaahidi utakuwa A Man I expect you to be! The Yes Ill Marry You even Today ! But if you fall fall short of my expectations Delibarately even after marrying you my promise to stay with you forever changes!

The forever will apply if and only if you remain the same man that i married!

If you change, dont expect me to remain constant! You cant possibly expect to receive what you cant give inreturn!!!!!

I like that.........kwa ujumbe huu nimesimama nikakupigia salute.
 
lara 1, an Ciello
haya ni maisha kumbukeni and no one will live like a stone or an iron. if that is the case ADMIT THAT CHANGES MUST BE THERE WEATHER FOR GOOD OR FOR BAD. INAWEZEKANA KABISA MTU AKABADILIKA KULINGANA NA MABADILIKO yaliyoko na huo ndo ukweli.

Chukulia mfano huu you are married to a very decent and honest man, but you are a monster, je huoni kwamba wewe ni sababisho la yeye kubadilika?? that is one side.

come to the other side, mwanaume ni mkatili, it depends with what you wanted from him at the very begging. kama ulitaka kumpenda binafsi naamini utapaswa kuvumilia but kama ulitaka kupendana basi hayo yaliyokuwa mabaya ungeyakemea toka mwanzo.

istoshe i always tell pple, usipende mtu kwa hisia hata siku moja, wala usimweke mtu moyoni mwako. huo moyo hauna vyumba vya kukaa watu. utaumia lazima.

penda kwa akili baasi. akili itakutuma kutafuta suluhu nzuri ya kila jambo. akili haitaacha hisia za moyo usemezeshe mwili bali akili itauambia mwili unataka nini kwa wakti huo na kwasaa hiyo na nini kifanyike.

siko tayari kuruhusu maumivu moyoni mwangu simply kwasababu nimembeba mtu, tena hazitaniachia nafasi ya kufikiri zaid ya kulipa kisasi. mie akili yangu inatumia kutafuta suluhu kwa kila jambo hasa la ndoa na kuangalia ninahitaji nini kwa wakti huo, chenye faida gani kwangu na familia yangu.

gals use your brain to love and not your heart. najua nyumba kubwa anaelewa nisemapo tumia akili kupenda.
 
Last edited by a moderator:
Sikatai hata chembe! Nchosema ni kuwa, Akibadilika atarajie na mimi nitabadilka!!!!!!!!!1 Sio yeye abadilike afu mimi nijivike u padri wa muda na kufanya kazi ya kumsamehe dhambi zake!

Hakuna bishara kama hiyo! Mambo ni MTULIZE KABLA HAJAKUTULIZA!!!! Baaaaaaaass!
Kama ndiyi hivyo, wewe huwezi kuishi na mume, mtu uliyemuelezea hawezi kuwepo duniani. Utaishi mwenyewe siku zote.
 
CIELLO ulipokumbuka post hii ya Lara 1 umenifanya nimkumbuke Ciello wa IT MIGHT BE YOU..
 
mMMMMMMMMMM Mada nyingine waweza kukita mkuki juu ya bichwa ya mtu
 
gfsonwin asante kwa maneno murua yameniongeza kwa kiasi flani
lara 1, an Ciello
haya ni maisha kumbukeni and no one will live like a stone or an iron. if that is the case ADMIT THAT CHANGES MUST BE THERE WEATHER FOR GOOD OR FOR BAD. INAWEZEKANA KABISA MTU AKABADILIKA KULINGANA NA MABADILIKO yaliyoko na huo ndo ukweli.

Chukulia mfano huu you are married to a very decent and honest man, but you are a monster, je huoni kwamba wewe ni sababisho la yeye kubadilika?? that is one side.

come to the other side, mwanaume ni mkatili, it depends with what you wanted from him at the very begging. kama ulitaka kumpenda binafsi naamini utapaswa kuvumilia but kama ulitaka kupendana basi hayo yaliyokuwa mabaya ungeyakemea toka mwanzo.

istoshe i always tell pple, usipende mtu kwa hisia hata siku moja, wala usimweke mtu moyoni mwako. huo moyo hauna vyumba vya kukaa watu. utaumia lazima.

penda kwa akili baasi. akili itakutuma kutafuta suluhu nzuri ya kila jambo. akili haitaacha hisia za moyo usemezeshe mwili bali akili itauambia mwili unataka nini kwa wakti huo na kwasaa hiyo na nini kifanyike.

siko tayari kuruhusu maumivu moyoni mwangu simply kwasababu nimembeba mtu, tena hazitaniachia nafasi ya kufikiri zaid ya kulipa kisasi. mie akili yangu inatumia kutafuta suluhu kwa kila jambo hasa la ndoa na kuangalia ninahitaji nini kwa wakti huo, chenye faida gani kwangu na familia yangu.

gals use your brain to love and not your heart. najua nyumba kubwa anaelewa nisemapo tumia akili kupenda.
 
Last edited by a moderator:
una hasira ndugu

Siyo hasira Suprise, Lara1 inaonekana mbabe kiuchumi, kielimu na ki-maneno. Kln hajui kwenye mapenzi vitu tajwa hapo juu havikufanyi uweze kumiliki penzi, mfano, simba jike ni mbabe, ananguvu nyingi na mjanja, lkn ktk maswala ya mapenzi ni mbwiga tu kwa simba dume.
 
hii imetulia! kuwa pendapenda nako kuna gharama..........oooh!!!

lara 1, an Ciello
haya ni maisha kumbukeni and no one will live like a stone or an iron. if that is the case ADMIT THAT CHANGES MUST BE THERE WEATHER FOR GOOD OR FOR BAD. INAWEZEKANA KABISA MTU AKABADILIKA KULINGANA NA MABADILIKO yaliyoko na huo ndo ukweli.

Chukulia mfano huu you are married to a very decent and honest man, but you are a monster, je huoni kwamba wewe ni sababisho la yeye kubadilika?? that is one side.

come to the other side, mwanaume ni mkatili, it depends with what you wanted from him at the very begging. kama ulitaka kumpenda binafsi naamini utapaswa kuvumilia but kama ulitaka kupendana basi hayo yaliyokuwa mabaya ungeyakemea toka mwanzo.

istoshe i always tell pple, usipende mtu kwa hisia hata siku moja, wala usimweke mtu moyoni mwako. huo moyo hauna vyumba vya kukaa watu. utaumia lazima.

penda kwa akili baasi. akili itakutuma kutafuta suluhu nzuri ya kila jambo. akili haitaacha hisia za moyo usemezeshe mwili bali akili itauambia mwili unataka nini kwa wakti huo na kwasaa hiyo na nini kifanyike.

siko tayari kuruhusu maumivu moyoni mwangu simply kwasababu nimembeba mtu, tena hazitaniachia nafasi ya kufikiri zaid ya kulipa kisasi. mie akili yangu inatumia kutafuta suluhu kwa kila jambo hasa la ndoa na kuangalia ninahitaji nini kwa wakti huo, chenye faida gani kwangu na familia yangu.

gals use your brain to love and not your heart. najua nyumba kubwa anaelewa nisemapo tumia akili kupenda.
 
Pamoja ume download sehemu nilitegemea kuona msimamo wako Ciello.

Kama mtu amekusaliti kwa nini usiachane nae? Wewe kulipiza kwa kumsaliti haisaidii chochote kile, lazima tujifunze kujiuliza kwa nini nimesalitiwa? Nimekosea wapi? Kwa nini ni kipindi hiki?

Visasi siku zote havisaidii chochote kile zaidi ya kuongeza maumivu, mwisho wa siku ni kupambana na magonjwa! Nikujidanya tu kuwa kisasi kinaweza ku cover maumivu uliyopata!
 
Last edited by a moderator:
hahahahahah lara 1 njoo ujibu hili...kumbe we mbabe wa maneno eeeh, nadhani mchaga hana sauti cant imagine his character lol
Siyo hasira Suprise, Lara1 inaonekana mbabe kiuchumi, kielimu na ki-maneno. Kln hajui kwenye mapenzi vitu tajwa hapo juu havikufanyi uweze kumiliki penzi, mfano, simba jike ni mbabe, ananguvu nyingi na mjanja, lkn ktk maswala ya mapenzi ni mbwiga tu kwa simba dume.
 
Last edited by a moderator:
loya mie hayo maneno yameniacha njia pand...kwa case ya bg/gf naweza kubaliana nayo lakini kwenye swala la marriage napata shaka na applicability ya maneno hayo....thats y nimeshindwa kuonyesha msimamo wangu...


Pamoja ume download sehemu nilitegemea kuona msimamo wako Ciello.

Kama mtu amekusaliti kwa nini usiachane nae? Wewe kulipiza kwa kumsaliti haisaidii chochote kile, lazima tujifunze kujiuliza kwa nini nimesalitiwa? Nimekosea wapi? Kwa nini ni kipindi hiki?

Visasi siku zote havisaidii chochote kile zaidi ya kuongeza maumivu, mwisho wa siku ni kupambana na magonjwa! Nikujidanya tu kuwa kisasi kinaweza ku cover maumivu uliyopata!
 
I second my dada gfsonwin for what she had just said...ndugu zangu kwenye NDOA hatukomoani...na hakunaga mshindwa na mshindaji...ikivurugika inawacost hata na wasiokuwemo (watoto)...Kuna vitu ni rahisi sana kuvisema ukiwa nje ya ndoa but ukishaingia inakuwa shida kidogo kuvipractise..(Msione wanaoleta shida zao hapa kama ni wajinga sana..no..wana akili na ni wajanja pia..but shughuli ya ndoa sio mchezo)...Mara nyingi mapenzi ya kwenye ndoa ni sawa na football game..yaani kuna dakika unachoka na huwezi kukaba na kuna muda unakuwa na 'pace' na 'stamina'..kikubwa ni kujitahidi tu kuwa na 'uwezo wa ku-possess na ku-dribble' ili hata ukichoka basi mpira unabaki kuwa upande wako..wenye kunielewa mmenielewa!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom