Head current
JF-Expert Member
- Jan 17, 2013
- 479
- 128
wana jf ngoja niwashauri kitu kuusu mambo ya madish km unahitaji chanel za hp nyumbani na za nnje na huitaji kulipia kwa mwezi hauna haja ya kuwa na dish kuuubwa hapana cha kufanya ni kuwa na receiver ya mpg4 dish dogo saizi km yale ya dstv uelekeo wa dish ni ule ule wa dstv na satelite ni ileile W4 ukifanya auto serch km dish limeshasetiwa utapata itv eatv star tv tbc chanel 10 agape capital pamoja na za nnje km cnn aljazera emmanuel tv muvi tv n.k na kumbuka ya kwamba hakuna malipo ya kila mwezi