taamu
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 10,158
- 8,046
Mkuu ule ni umbea na kujipendekeza kulikotukuka mwanaadamu anaefanana na ngedere huwa na tabu sana.Taasisi ya Rais wa JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA nzito sana tusiichukulie poa kwa chuki zetu binafsi mkuu.
Kuna uwezekano uwezekano mkubwa sana hata ungekuwa Wewe katika nafasi ya bwana Humphrey Polepole ungefanya zaidi ya kumshikia Dafu Mh. Rais wa JMT.