Uongo aiusian na ya dafu alilokula magu tofautUsichukulie poa maswala ya ulinzi na usalama.
Kuna uzi humu JF kuhusua muuza madafu.. na pia kuhusu yule muuza mahindi aliyekujagundulika ni mlinzi wa Naibu Rais wa Kenya Bw. Rutto.
Uzi wa muuza madafu una hizi picha.
Majibu utajaza mwenyewe.View attachment 1014707View attachment 1014709
Kwani kwenye post yangu nimesema huyo bwana ndiye kamuuzua Magu dafu?Uongo aiusian na ya dafu alilokula magu tofaut
Kulikuwa na urongo unaenezwa chakula cha mh Rais lazima kipimwe tena lazima ale MTU mwingine kabla yake..
Magufuli amethibitisha sio kweli,km mnakumbuka alikula kwenye mgahawa mwanza,Jana kala dafu adharani bila kutest MTU wala kupimwa.
Mi najua madafu uwa yanakaaga wiku3 hayajauzwa na kwavile hayajakomaa maji yake yanavunda hivyo ni raisi kuumwa tumbo..ila mh hakujali ilo wala hakuwaza madafu ni ya lini..
Tuache kudanganyana acheni urongo urongo....
Sent using Jamii Forums mobile app
Usichukulie poa maswala ya ulinzi na usalama.
Kuna uzi humu JF kuhusua muuza madafu.. na pia kuhusu yule muuza mahindi aliyekujagundulika ni mlinzi wa Naibu Rais wa Kenya Bw. Rutto.
Uzi wa muuza madafu una hizi picha.
Majibu utajaza mwenyewe.View attachment 1014707View attachment 1014709
Mdau aliyesema hicho kilikuwa hakijaandaliwa kwa ajili ya raisi yupo sahihi, kinachopimwa huwa ni kile kilichoandaliwa kwa ajili yake maana ndo rahisi kutumika kama njia ya kumdhuru lakini hichi cha mtaani hawezi wekwa chochote kwa sababu kinatumika na wote we unafikiri nani angejua kuwa atanunua dafu? Na hata kama atanunua atachagua lipi? Na kwa muuzaji yupi? So tutumie tu common sense
Sent using Jamii Forums mobile app