Sio kweli chakula cha Rais lazima kipimwe kabla ya kuliwa

Uongo aiusian na ya dafu alilokula magu tofaut
Kwani kwenye post yangu nimesema huyo bwana ndiye kamuuzua Magu dafu?
Mbona unaniita muongo bila sababu?
Acha mihemuko.
Sasa kukugungua macho zaidi kuna story ya Bobi wine wa Uganda.
Ndio ujue serikali zina mikono mirefu saana kwenye mambo haya.
Picha zote ni kwa hisani ya JF
tapatalk_1537456118363.jpeg
tapatalk_1537456203374.jpeg
tapatalk_1537456184759.jpeg
 
Inasikitisha.mpaka.leo.hujui maana ya usalama wa taifa ususani kikosi cha kumlinda rais
Kulikuwa na urongo unaenezwa chakula cha mh Rais lazima kipimwe tena lazima ale MTU mwingine kabla yake..

Magufuli amethibitisha sio kweli,km mnakumbuka alikula kwenye mgahawa mwanza,Jana kala dafu adharani bila kutest MTU wala kupimwa.

Mi najua madafu uwa yanakaaga wiku3 hayajauzwa na kwavile hayajakomaa maji yake yanavunda hivyo ni raisi kuumwa tumbo..ila mh hakujali ilo wala hakuwaza madafu ni ya lini..

Tuache kudanganyana acheni urongo urongo....

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kifupi ni kwamba, tunayoyajua na kuyaona ni machache kuliko yale mengi yanayoendelea na kufanyika. Kuyaona yale machache isiwe kigezo cha sisi kufikia hitimisho kwa yale mengi tusiyojajua au kuyaona.

Yawezekana chakula ulichokitolea mfano hapo kisipimwe, ila haiwezekani kama kikapikwa pasipo uangalizi maalumu.
 
huyu muuza madafu lazima ilikua lazima tumtilie shaka ...jamaa alikua smart kweli hapo .Kapiga pensi kali sendozi za Chid mapenzi na saa ya ya laki moja afu anauza dafu la buku ......
Usichukulie poa maswala ya ulinzi na usalama.
Kuna uzi humu JF kuhusua muuza madafu.. na pia kuhusu yule muuza mahindi aliyekujagundulika ni mlinzi wa Naibu Rais wa Kenya Bw. Rutto.
Uzi wa muuza madafu una hizi picha.
Majibu utajaza mwenyewe.View attachment 1014707View attachment 1014709
 
Mdau aliyesema hicho kilikuwa hakijaandaliwa kwa ajili ya raisi yupo sahihi, kinachopimwa huwa ni kile kilichoandaliwa kwa ajili yake maana ndo rahisi kutumika kama njia ya kumdhuru lakini hichi cha mtaani hawezi wekwa chochote kwa sababu kinatumika na wote we unafikiri nani angejua kuwa atanunua dafu? Na hata kama atanunua atachagua lipi? Na kwa muuzaji yupi? So tutumie tu common sense

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu umeongea vizuri sana
 
Huu Uzi nimecheka Sana aisee wadau sio watu wazuri wanajua kufukunyua hatari et muuza madafu kavaa pensi kali,sendoz za Bei na saa ya laki halafu anauza madafu ya buku
😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom