Siku hizi wakaka naona yamewafika shingoni haswa na wameamua kuwa ki Imani zaidi. Naona ni mwendo wa kukemea tu sasa, kuna yule dada aliomba hela kwa boyfriend kwenye simu na yeye akakemewa kwa jina la Yesu. Kazi ipo.
Siku hizi wakaka naona yamewafika shingoni haswa na wameamua kuwa ki Imani zaidi. Naona ni mwendo wa kukemea tu sasa, kuna yule dada aliomba hela kwa boyfriend kwenye simu na yeye akakemewa kwa jina la Yesu. Kazi ipo.